Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hebu angalia hiyo video at 1:22...hapa mnatuwekea picha za mbele huku mnaficha nyuma hizo slums next to those buildings...dah! kumbe Dar ni kitongoji duni tu kwa asilimia 90.
KINAELEWEKA SASA

badala ya mapicha afadhali saizi waweke video. Picha inaficha vitu nyingi sana. LO! darislum
 
Nyie kutoka eti below normal poverty line ya around 22% to extreme(yani worst level) ya 32% with a "booming" economy over 6-7% growth annually, among top 10 fastest growing in the world. Shida ni nini??????
sikushangai wewe unaelia na tanzania hapa wakati below poverty line in tanzania is 22% and kenya is 42%🙂🙂🙂🙂🙂
 
Niskie mtu akipinga hakuna slums darislum
IMG_20180806_110318.jpg
 
SGR lazima mukope kaka, serikali is struggling to finance, hamna pesa ni porojo ya CCM na unajua. Bagamoyo ni $10Bn(Ksh1Trn) deni almost three quarters your natiobal budget!., ilhali hamna import/export bulk sufficient to satisfy its huge demand to break even. Nchi zenye zimewazunguka ni masikini wa kutupwa! Maybe Africa's plan of interconnection ya SGR happens fast, as agreed across the continent, Mchina anasema plan yake ni port ya Bagamoyo iwe kama ile ya Shenzhen of which kiukweli hiyo ni opinion yake tu, Shenzhen has business which even if EAC yote tu combine and we all use Bagamoyo port na pia tuvute Ethiopia we can't match Shenzhen!! Mchina ako na agenda yake. Am hoping for the best lakini., Mungu akitupa uhai tutaona vile mambo yataenda.
kukopa tutakopa na kama hatukupata soft loan ni kheri tuendelee kujenga kwa pesa zetu kama tulivoanza kwenye phase mbili ambayo ni 722 km dar to dodoma na juu ya hapo utambue treni hii ni modern electric bullet train in africa hilo kwanza utambue

bagamoyo port itajengwa kwa ushirikiano wa nchi mbili ni china na oman lakini lazima tukubaliane kwenye meza hatuingii kichwa kichwa kama mlivoingia kwenye SGR na mchina yani kawachakaza vilivo hawagonga pesa kubwa alaf interest kubwa huku kawaletea treni za 50s 🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂 alaf leo nastaajabu kuskia SGR imeajiri 5000 chinnese hehehehe wakati wakenya hawana kazi
 
sikushangai wewe unaelia na tanzania hapa wakati below poverty line in tanzania is 22% and kenya is 42%🙂🙂🙂🙂🙂
Nilikuambia nyuma ya hizo blue buildings ni slum...sasa video imedhibitisha your fears.yy
 
we ni mtu wa ajabu sana unatuletea data za mwaka gani hizo au uko desperate sana kutuchafua
Hahaha sasa kwenye hiyo data nadhani umeona the trend. From 1982 to 2002 informal settlements have been increasing. (kwa jina ingine, SLUMS)

Prove me wrong.
 
we ni mtu wa ajabu sana unatuletea data za mwaka gani hizo au uko desperate sana kutuchafua
Niko desperate sana kuwaeka pahala penu. Mnakemea jiji letu mkidhani nyinyi kijiji chenu kiko afadhali lakini wapi?

Nyinyi ni nyani asiyeona M*KUNDU wake .

Mazwazwa kweli
 
KINAELEWEKA SASA

badala ya mapicha afadhali saizi waweke video. Picha inaficha vitu nyingi sana. LO! darislum
maybe this should teach you not to brag, mnatuletea views za Nairobi cbd lakini za slums mnaficha
 
Niko desperate sana kuwaeka pahala penu. Mnakemea jiji letu mkidhani nyinyi kijiji chenu kiko afadhali lakini wapi?

Nyinyi ni nyani asiyeona M*KUNDU wake .

Mazwazwa kweli
character yako inaonesha jinsi mlivyo wakenya wengi. Sehemu yenu mmeiona ? The worst slum in Africa and in top three of the world's worst slums. Mi sitahangaika kubishana na mtu illiterate kama wewe
 
maybe this should teach you not to brag, mnatuletea views za Nairobi cbd lakini za slums mnaficha

Hatujawai ficha slums zetu. Wakuficha wanajulikana. Slums zetu picha ziko all over. Zingine ziko kwenye GALLERY yako mwenyewe.

 
Hahaha sasa kwenye hiyo data nadhani umeona the trend. From 1982 to 2002 informal settlements have been increasing. (kwa jina ingine, SLUMS)

Prove me wrong.
sasa kibera ilioanza in the 20th century utaizungumziaje? toa boriti katika jicho lako mwenyewe ndio utoe kibanzi jichoni pa mwenzio
 
Back
Top Bottom