Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwa hiyo wewe education yako iko vizuri sio???mbona huwezi kuunda sentensi vizuri,haya tuambie kiingereza cha "I always says"..ni kiingereza cha aina gani!!
😀😀😀 Wahenga walisema usianzishe ugomvi ukiwa kwenye nyuma ya vioo. Asante sana ndugu yangu.
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Mbona unalia sana kijana. Mbona na nchi ya Tanzania ipo. Kwahiyo kenya imeonewa!!?
Vipi kuhusu hili?
863px-2014_Gini_Index_World_Map%2C_income_inequality_distribution_by_country_per_World_Bank.svg.png
Umewachinja hapo
 
When you compare Kenya and Nigeria, kenya iko vibaya sana.
No hunger in Nigeria. Few slums in Nigeria. Labda akili zako ni finyu.
Extreme Poorest poppulation in the world, overtaking India as of 2018!!., eti few slums!!, over publication and exposure of Kibera has made your mind believe so. Wivu na chuki zako hazitawatoa LDC kamweee! Mko worse in EAC kwa poverty index, hakuna kitu unaongea hapa. Kojoa ulale. Goodnight.
dense-housing-in-dar-es-salaam-aerial-view-picture-id614928338.jpeg
 
English ya kuandika iko tofauti na ya kuongea kwa sababu ya kuandika maandishi yanageuzwa juu chini, chini juu
Muda mwingine uwe unatumia akili zako,so kila unachoambiwa we unaamini tu!!
😂😂😂😂😂😂😂 Umesema mandishi yanageuzwa juu chini, chini juu? Ebu leta moja enye imegeuzwa ivo nione 😂😂😂. What I mean in simple term is that you may know how to communicate in English or Swahili but you don't know how to write it. That's what I meant by writing and speaking are two diff items.
 
Hebu wacha maneno hayo kijana. EA nchi inayojielewa ni Tanzania pekee. Huwezi kukuta raia wa Tanzania wanahaha kukimbia nchi yake.
Mnajielewa nyie!! vile mnabebwa ujinga mchana jua ikiwa kati na serikali yenyu!!! afadhali ungesema Rwanda. Aibu tupu!!!
 
next time, sema will I be wrong? sawa zuzu?
ah kumbe ulielewa alichokua akimaanisha,sasa jiulize swali kati ya wewe na yeye nani zuzu??....
Kwa kukusaidia hakuna mtu mjinga katika dunia hii kumzidi yule anayeamini kuwa kuijua lugha ya kiingereza ndio kuelimika!
 
kwa hiyo wewe education yako iko vizuri sio???mbona huwezi kuunda sentensi vizuri,haya tuambie kiingereza cha "I always says"..ni kiingereza cha aina gani!!
I always says is a continuous phrase my friend. I'll make you know these things kijana 😂😂😂
 
ah kumbe ulielewa alichokua akimaanisha,sasa jiulize swali kati ya wewe na yeye nani zuzu??....
Kwa kukusaidia hakuna mtu mjinga katika duniani kuliko yule anayeamini kuwa kuijua lugha ya kiingereza ndio kuelimika!
But kutojua kuiandika ni ignorance 😂😂😂. Just the same way jana niliona mtanzania mmoja jf mwenye hajui kusndika Kiswahili, kuongea anajua but kuandika hajui.
 
kwa hiyo wewe education yako iko vizuri sio???mbona huwezi kuunda sentensi vizuri,haya tuambie kiingereza cha "I always says"..ni kiingereza cha aina gani!!
According to you which is right😂😂😂.
"Says it" or "Say it" 😂😂
 
What I said is " I always says it..." You know that if you include 'it' it will make sense sasa ukaamua kuiacha 😂😂😂
Muache kurekebisha watu na huku nyie wenyewe mnatuletea viingereza vya hovyo hovyo hapa!!
 
😂😂😂😂😂😂😂 Umesema mandishi yanageuzwa juu chini, chini juu? Ebu leta moja enye imegeuzwa ivo nione 😂😂😂. What I mean in simple term is that you may know how to communicate in English or Swahili but you don't know how to write it. That's what I meant by writing and speaking are two diff items.
Young boy, English is not ur first language also is not ur language. You need to upgrade your intellectual. Intelligent people discus issues but ignorant people discuss other people. So you need to understand speaking or writing do not make you intelligent. Research, meditation and listening can make you intelligent. Sawa kijana. Unahitaji kujifunza mambo mengi sana. You have childish arguments.
 
Mnajielewa nyie!! vile mnabebwa ujinga mchana jua ikiwa kati na serikali yenyu!!! afadhali ungesema Rwanda. Aibu tupu!!!
Tanzania is the father of EA. Tukisema tunafunga mipaka mtajikojolea.
 
Muache kurekebisha watu na huku nyie wenyewe mnatuletea viingereza vya hovyo hovyo hapa!!
Nini hovyo hapo 😂😂😂, I always says is a continuous phrase and it's drammatically correct. I'll make you know these things kijana 😂😂😂
 
I always says is a continuous phrase my friend. I'll make you know these things kijana 😂😂😂
Stupid.
Hivi unajua present tenses wewe!?
First and second person pronouns does not include "s". Ondoa ushamba wako. Bora ungekaa kimya tu. Unajiaibisha.
 
Young boy, English is not ur first language also is not ur language. You need to upgrade your intellectual. Intelligent people discus issues but ignorant people discuss other people. So you need to understand speaking or writing do not make you intelligent. Research, meditation and listening can make you intelligent. Sawa kijana. Unahitaji kujifunza mambo mengi sana. You have childish arguments.
I'm just trying to enlighten your thick head. I don't need your research coz I have done a lot of them accompanied with the reports not useless items like these.
 
Stupid.
Hivi unajua present tenses wewe!?
First and second person pronouns does not include "s". Ondoa ushamba wako. Bora ungekaa kimya tu. Unajiaibisha.
Anneal what is present continuous tense? 😂😂😂😂
 
Stupid.
Hivi unajua present tenses wewe!?
First and second person pronouns does not include "s". Ondoa ushamba wako. Bora ungekaa kimya tu. Unajiaibisha.
Let's do this, construct the phrase correctly using I, always and say/s
 
LUNATIC hujielewi. Kunywa uji urudi kitandani
Du ! Wakenya mnanjaa sana inaelekea mnalalia Uji usku ndiyo maana unasema tunye Uji pole sana mvuta bange mlimchagua wenyewe huyo pambaneni na hali zenu
 
Back
Top Bottom