Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Punguza povu lamanung'uniko![]()
![]()
hapo umesema ukweli...apart from Anaael utaona hao wengine wakirukia hapa kama machura wakikataa...
Punguza povu lamanung'uniko![]()
![]()
hapo umesema ukweli...apart from Anaael utaona hao wengine wakirukia hapa kama machura wakikataa...
Tumia akili kubwa bro wacha kutumia akili ndogo .....So between both countries:
1.NBO
2.DAR
3.MOMBASA
4.KISUMU
5.ARUSHA/MWANZA
6.NAKURU
7.ELDORET
8.MWANZA/ARUSHA
I would rank top cities this way.
Unapinga nini kwenye hiyo list?Tumia akili kubwa bro wacha kutumia akili ndogo .....
Punguza porojo ichoboy...while our econonmy of roughly 80b growing at a rate of 6 %...mutafikia kweli leaguekwanza rekesbisha kauli kenya inakua kwa 4.4% na tanzania inakua kwa 7.2% usichanganyikiwe kwanza nimekuomba official source sasa nashangaa unaniletea maelezo na porojo za vijiweni
ndugu yangu economy ya arusha hakuna mji wowote outside nairobi na monbasa unaeza kabiliana nayo![]()
6% of 85B USD will make us cross the 90B USD markPunguza porojo ichoboy...while our econonmy of roughly 80b growing at a rate of 6 %...mutafikia kweli leagueView attachment 827486
JIBU MASWALI YAFUATAYOUnapinga nini kwenye hiyo list?
LUNATIC hujielewi. Kunywa uji urudi kitandaniJIBU MASWALI YAFUATAYO
Sehemu.A. 5%
Aliyefanya hiyo takwimu ni nani anaishi wapi,anajishughulisha na nini,alisoma shule gani,ana level gani ya elimu,?..
Je ni mlevi wa pombe ama mvuta bangi na unga au anatumia vyote vyote..?,na yupo kwenye taasisi gani..,ni mwizi au chokoraa. ?..
Je ni jobless?..
LUNATIC hujielewi. Kunywa uji urudi kitandani
hyo ni kali..ati kunywa uji urudi kitandani...
Ushafeli 0%LUNATIC hujielewi. Kunywa uji urudi kitandani

![]()
![]()
hyo ni kali..ati kunywa uji urudi kitandani...

Huyo kijana ni mtoto sana. Bado hata kufikiria hajajifunza
Huyo jamaa ni ndimu sana aiseeKijana tunakuuliza maswali kuwa hiyo list umeitoa wapi unaendelea kupiga porojo. JF siyo kundi la wavuta bangi. Kwahiyo kama umevuta musuba kidogo subiri utoke kichwani kisha uje.
Hawajui tushawasoma..you can tell alot by how he argues..is he humble..is he truthful...is it a sober argument but lusematic amefeli hayo yote...watoi wa jfHuyo kijana ni mtoto sana. Bado hata kufikiria hajajifunza
Nimejaribu kupitia kwenye mitandao ya kijamii mingi. Ukikutana na mkenya hawezi kutete points zake.Huyo jamaa ni ndimu sana aisee
Unaulizwa simple qns baada ya kujibu kwa kutetea hoja yako kwa kuthibitisha uma unabaki kutoa speechless kama mtoto wa kindagatenHuyo kijana ni mtoto sana. Bado hata kufikiria hajajifunza
Are you crazy!!! stop disgrace yourself. We need facts rather than porojo mnazoziweka hapa.Hawajui tushawasoma..you can tell alot by how he argues..is he humble..is he truthful...is it a sober argument but lusematic amefeli hayo yote...watoi wa jf
Between kenyans and tanzanians..nani anapenda porojo ...you base most of your arguments on rumours and us on facts ..like vile mulisema ati ndege mulinunua ati cash only....wapi hyo paperwork to prove ama nikufuata Pombe akiwapaka mafutaAre you crazy!!! stop disgrace yourself. We need facts rather than porojo mnazoziweka hapa.
Ukiweka facts sisi tutakubaliana. But ukilieta porojo you will see us bitter