Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo sasa umeongea nimekuelewa. ..
Kumiliki landcruiser sio jambo la mchezo hapo ni watu wa kipato cha kati cha juu ..

Let me tell you some,bongo fursa zipo kibao ukiwa mjanja uku unatengeneza pesa nzuri kabisa sasa izo story za bongo bado zisikupe usingizi
Tunuache abaki hivyo hivyo kwa kusema bongo bado
 
Ndiyo maana huwa tunasema GDP yao ni ya makaratasi yaani hizo za miaka ya nyuma inaelekea ni za matarajio mpaka 2050 ndiyo wawe na real GDP
Facts kaka, facts ama ugua pole pole. Quantify what we have on the ground and their productivity to prove 80bn plus GDP figures wrong., wacha kujitekenya kisha unacheka mwenyewe., porojo ya mtandao ndio unajua, ukweli hauwezi kubali. Tukiweka yetu, mnusema "..hiyo imepikwa, ya makaratasi, tunataka ya watalamu wa nje..."., IMF wakifanya utafiti from the ground, kisha wakatoa report bado mnapinga., ukweli unakuumiza sana!., teseka tu., Tanzania hampo nasi., mko kivienyu na Zambia, Mozambique etc., same league., sisi na shida zetu tunajijua.
 
Lake Ngozi.
Ramani ya Africa. The wonders of Tanzania.

lake-ngozi.jpg
 
Sehemu kubwa ta Tz ni mapori buda yaani hii nchi ilivyokubwa iyo pop naona ni size nzuri kabisa..
Sasa Kenya yenu tumepishana watu 5M lakini ni kanchi kadogo..ningekuelewa kama Kenya mngekua walau 30M lakini kwa wingi huo wa watu pamoja na ukubwa wa nchi yenu naona kama nyie ndio mnazaliana sana..
Population to GDP ratio kaka ndio nilikua naongelea., a huge problem, even with that fertile land mass that you can't turn into something meaningful to manifest amongst the people. Balaa! However personally am optimistic with the current crop of youthful Tanzanians, they are trying to be informed about economy and knowing what Tz is capable of., a bright future is in the offing if you guys put your zeal and uzalendo for Tz into practice, you have a good future for sure. For now you are on an upward trajectory, but hamjafika level ya Kenya yet. The gap is likely to increase unfortunately, I want to see when your sgr is done and Bagamoyo ongoing, with gas export fully running, Uganda oil pipeline functioning, then we can discuss the trickle down effect, and economic growth percentage. Maybe then if Kenya will drag its feet, and fail to exploit the gas and oil that has shown signs in Lamu, sgr fails to reach Kampala, oil in Turkana fail to be exported, energy investments fail to be completed, then Tz will get ahead with a growth of over 12-15%, which I believe is possible, but as at now when Kenya is stabilizing, you are chasing close, but not so close. I like facts, from credible sources not stories and wishful thinking kama za Lusematic! It feels nice to feel superior, and its also peaceful to be realistic also.
 
lakin unemployment rate ni 2.7% kuliko nyie wenye unemployment ya 40%
nchi ilioshindwa kupambana na njaa hio GDP iko wapi nchi inayonuka umaskini na slums zinazoongoza duniani hio GDP iko wapi au iko kwenye makaratasi


Hii ndio porojo ya CCM!! , I brought it up Kwa thread flani hapa, watanzania kadha walipinga wakasema hakuna kitu kama icho, 2.7% unemployment!., I told them its the gospel according to Ichoboy01! from incredible sources. Inawezekanaje muwe na 2.7% unemployment then 32% languish in extreme poverty according to 2018 poverty index report???? HOW??? Kenya is 24%., in fact by standards za LDC kigezo ni less than 1 dollar!!.,
Ile tactic yako ya kuweka expired report showing Tz is even better than Equatorial Guinea, na Mexico us not applicable as at now! Check where these two countries are in the current updated report?., what is your government doing Ichoboy01??., bado sielewi vile raiya wengi bado wanapiga tabu hivyo na hiyo rasilmali yote!!!
 
Hii ndio porojo ya CCM!! , I brought it up Kwa thread flani hapa, watanzania kadha walipinga wakasema hakuna kitu kama icho, 2.7% unemployment!., I told them its the gospel according to Ichoboy01! from incredible sources. Inawezekanaje muwe na 2.7% unemployment then 32% languish in extreme poverty according to 2018 poverty index report???? HOW??? Kenya is 24%., in fact by standards za LDC kigezo ni less than 1 dollar!!.,
Ile tactic yako ya kuweka expired report showing Tz is even better than Equatorial Guinea, na Mexico us not applicable as at now! Check where these two countries are in the current updated report?., what is your government doing Ichoboy01??., bado sielewi vile raiya wengi bado wanapiga tabu hivyo na hiyo rasilmali yote!!!
Huyo ni kijana wa POROJO

unemployment is nothing to laugh about
jobs.jpg
 
What did the IMF/World bank world poverty index report ya June 2018 said about Tanzania??, kaka nyie masikini wa kutupwa EAC na SADC!!, usijiaibishe hapa. GDP per capita yenyu pia is below Kenya, but better than Ethiopia. Nyamaza tu kaka, you are truly an LDC country. Hamuonewi. Our economy is not on paper and what we have already on the ground of we quantify, inadhihirika wazi., our revenue collection is more than your national budget!!, na nyie waongo sana, eti mnafanya maendeleo kwa pesa zenyu wenyewe ilhali vyanzo vyenyu vya mapato haviwezi ku finance national budget!!!, ilibainika wazi wakati wa kusoma budget. Aibu sana, lazima mukope ili kushughulikia mahitaji ya nchi., je ya miradi mnatoa wapi???., blind patriots.
We kweli kilaza kama miradi yamkopo huwa tunasema ni yamkopo na kama zinatoka mikononi mwetu huwa tunasema kama zinatoka mikononi mwetu...na hakuna hapa aliyekuambia kama hatujawahi kukopa ....

Wacha uchizi
 
si bora kua LDC kuliko kua MLDC
alaf unemployment rate 40%
below poverty line 43%
debt to GDP ratio 60%
slums zisizohesabika na zinazoongoza duniani hehehhe
ukija kwenye security zero kabisa
alaf MLDC
Weka facts not unsubstantiated internet reports. Do you even know what 60% to GDP ratio means for a GDP of 80bn?., it is still sustainable., nyie masikini hamuwezi handle hiyo level ya borrowing. Kaangalie bigger economies their debt to GDP ratio., even some developed countries has more! jiulize why? the economic output can sustain it., SA dept to gdp ratio may hit 65% according to news reports from south., shida si ukubwa, ni uwezo wa kulipa.
Kigezo ya kupima poverty line ya lower middle income is less than $3!., maybe hauna copy., fanya utafiti kaka., our 40% below poverty line is not same as yours. That is why Kenya has 40% below poverty line by middle income standards, lakini on extreme poverty nyie ni 32% Kenya 24%, tuko vibaya sote, but mko worse. Bingwa wa umaskini EAC na SADC! Jielewe kaka, we are not reading from the same script.
 
We kweli kilaza kama miradi yamkopo huwa tunasema ni yamkopo na kama zinatoka mikononi mwetu huwa tunasema kama zinatoka mikononi mwetu...na hakuna hapa aliyekuambia kama hatujawahi kukopa ....

Wacha uchizi
Thank you. Now keep to your lane. Hamjafika., though so far mko on the right track. Am hopeful mtajikwamua kwa umasikini, if all your projects are realized soon.
 
This the expired report yenye Ichoboy01 anapenda kupayuka nayo. I need you to do me a favour, kaangalie where Equatorial Guinea is as at now? Mexico?., Ivory Coast? the current poverty index report., No country in EAC or central is near Equatorial Guinea as at now! Wamepepea tayari., Mexico wamepanda.., this report is null and void for now. EXPIRED!
 
This the expired report yenye Ichoboy01 anapenda kupayuka nayo. I need you to do me a favour, kaangalie where Equatorial Guinea is as at now? Mexico?., Ivory Coast? the current poverty index report., No country in EAC or central is near Equatorial Guinea as at now! Wamepepea tayari., Mexico wamepanda.., this report is null and void for now. EXPIRED!
😀😀😀😀 Visit the link I attached will tell you:-

1533487524246.png


Population below poverty line - Country Comparison
 
Back
Top Bottom