AbassChizzy
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 546
- 201
254 proud
Beauty...
Wakenya ni zero hata lile buffalo lao la 1970'swamelichora bendera yao wakati lipo kenya hawajiamini kabisa![]()
![]()
Hapa kweli kuna mjadala? Hizo rangi utafikiri taa ya kuchaji ya kichina inayouzwa Kariakoo!!!! Sijui mjinga gani aliwadanganya hata Airport muweke rangi za bendera.
kwa density hii ndio munataka kushindana na dar😂😂😂😂
is tha a godown or an airport?![]()
![]()
Hapa kweli kuna mjadala? Hizo rangi utafikiri taa ya kuchaji ya kichina inayouzwa Kariakoo!!!! Sijui mjinga gani aliwadanganya hata Airport muweke rangi za bendera.
Why not Mombassa vs Zanzibar?
OK, mi nataka nikuulize swali kutokana na hii screenshot yako,Me sijui hao 2.5 million residents wa kibera huwa munatoa wapi...while dar has more than 3 million living in dream housesView attachment 824172
wakenya ni watu wa ajabu sana wao wakiona mabati yana kutu tu basi akili zao zinawaambia "hizo ni slums"..Hapa ni Magomeni. Magomeni ni mji w zamani una mitaa imenyooka wala sio slum. Tatizo lako ukiona nyumba ziko karibu karibu unaita slum. Hio hi high density area. Kwenye hio picha kuna mtaa wa Idrisa ambao ni 4-lane street na mitaa mingi ina-cut across BRT