Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

zoom and show me where is slum heheh😂😂😂😂😂 munaona wazungu wajinga sana kua hawajui😝😝😝😝

google earth hio😅😅😅👌👌
View attachment 824178
😂😂😂😱😱
Kisumu dumpsite
FB_IMG_1533111159380.jpg
Dar suburb
IMG_20180801_105524_163.jpg
 
Hapa ni Magomeni. Magomeni ni mji w zamani una mitaa imenyooka wala sio slum. Tatizo lako ukiona nyumba ziko karibu karibu unaita slum. Hio hi high density area. Kwenye hio picha kuna mtaa wa Idrisa ambao ni 4-lane street na mitaa mingi ina-cut across BRT
ati high density area!!!bro unachekesha....sawa..do hivi...niambie difference ya slum na high density area??
 
So hizo ni bungalows ? 😂😂😂
Wewe unaona ni magorofa hayo? Ungeshuka chini uone hizo nyumba ndio ungeelewa nazungumzia nini. Ngoja nikwambie Magomeni,Ilala,Kinondoni,Temeke ni uswahili ila ni miji iliojengwa na wakoloni, nyumba zote hadi 1990s zilikuwa zinafanana mmiliki akiwa NHC baadae zikauzwa kwa watu ndio wanazibadili taratibu hadi sasa hivi unakuta chache ndio ziko vile vile. Kwa taarifa yako maeneo hayo niliyokutajia hakuna slum kumepangwa ila hizo nyumba ziko karibu karibu kama mita 3-5 kutoka nyumba hadi nyumba na hazikuwa na fence enzi hizo.
 
hawajui maana ya slum😂😂😂😂
Wewe unaona ni magorofa hayo? Ungeshuka chini uone hizo nyumba ndio ungeelewa nazungumzia nini. Ngoja nikwambie Magomeni,Ilala,Kinondoni,Temeke ni uswahili ila ni miji iliojengwa na wakoloni, nyumba zote hadi 1990s zilikuwa zinafanana mmiliki akiwa NHC baadae zikauzwa kwa watu ndio wanazibadili taratibu hadi sasa hivi unakuta chache ndio ziko vile vile. Kwa taarifa yako maeneo hayo niliyokutajia hakuna slum kumepangwa ila hizo nyumba ziko karibu karibu kama mita 3-5 kutoka nyumba hadi nyumba na hazikuwa na fence enzi hizo.
Hahaha ona huyu mjinga😂😂😂, who told you bungalows are only high rise. I know you are talking of flats but me I'm talking of bungalows.
 
ati high density area!!!bro unachekesha....sawa..do hivi...niambie difference ya slum na high density area??
Are u serious? Kwenye nikupe mfano, kwenye sq km moja O'bay kunaweza kuwa na nyumba 50(mfano)zilizopangwa, wakati sq km moja magomeni inaweza kuwa na nyumba 200 zilizopangwa. Slum refer Kibera.
 
Hahaha ona huyu mjinga😂😂😂, who told you bungalows are only high rise. I know you are talking of flats but me I'm talking of bungalows.
Wewe ni taahira kabisa. Nimekurudishia wewe hilo swali.
 
Wewe unaona ni magorofa hayo? Ungeshuka chini uone hizo nyumba ndio ungeelewa nazungumzia nini. Ngoja nikwambie Magomeni,Ilala,Kinondoni,Temeke ni uswahili ila ni miji iliojengwa na wakoloni, nyumba zote hadi 1990s zilikuwa zinafanana mmiliki akiwa NHC baadae zikauzwa kwa watu ndio wanazibadili taratibu hadi sasa hivi unakuta chache ndio ziko vile vile. Kwa taarifa yako maeneo hayo niliyokutajia hakuna slum kumepangwa ila hizo nyumba ziko karibu karibu kama mita 3-5 kutoka nyumba hadi nyumba na hazikuwa na fence enzi hizo.
Excuse kama kawa 😂😂😂, hata mshutuliwe usiku mkidoz hamtakosa excuse😂😂😂
 
Are u serious? Kwenye nikupe mfano, kwenye sq km moja O'bay kunaweza kuwa na nyumba 50(mfano)zilizopangwa, wakati sq km moja magomeni inaweza kuwa na nyumba 200 zilizopangwa. Slum refer Kibera.
Soma hapa kaka
Screenshot_2018-08-01-11-56-51~2.jpg
 
Back
Top Bottom