Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

dodoma baby
CA25B983-5332-4F35-A4AF-81AAAD629BD5.png
 
If kenyans could exchange countries with with tz..we could be the most richest and developed nation...with all that gas and minerals and arable farm...tungekuwa mbali..but if tz was in kenya..wangekuwa maskini kama somalia...but still we outdo them in almost every sector..endeleeni kulalia maskio.....
What if Kenya exchange Country with Malaysia,Singapore, or even Japan.Acha siasa,,kuna viinchi vidogo havina hata ardhi ya kuzika na hazina resources kama mlizonazo Kenya lakini wana uchumi mzuri kuliko huo uchumi wenu wa makaratasi.

Inawezekana Tz tumechelewa kutokana na mfumo tuliokuwa nao wa ujamaa,,hata hivyo kaa ukijua within ten yrs kuna mambo mengi na makubwa sana yamefanyika.Mfano mdogo tu ni suala la utalii ambako tumeshawamaliza..!
 
Iyo nayo ni ukweli, kwa football pitches mko juu
na cha kushangaza hizo viwanja haijawasaidia kimcgezo...juzi tu ile team yao ya yanga walipewa kichapo cha mbwa na Gor. Tanzania inajulikana kwa mchezo gani duniani? Kenya inajulikana kwa riadha, volleyball, rugby, cricket, the list is endless
 
What if Kenya exchange Country with Malaysia,Singapore, or even Japan.Acha siasa,,kuna viinchi vidogo havina hata ardhi ya kuzika na hazina resources kama mlizonazo Kenya lakini wana uchumi mzuri kuliko huo uchumi wenu wa makaratasi.

Inawezekana Tz tumechelewa kutokana na mfumo tuliokuwa nao wa ujamaa,,hata hivyo kaa ukijua within ten yrs kuna mambo mengi na makubwa sana yamefanyika.Mfano mdogo tu ni suala la utalii ambako tumeshawamaliza..!

Achana akili ya mbwa mwitu... Hiyo uchumi wenu wa kutengeneza matofali ndio unafananisha na KENYA??? Go for a medical check on your head nitwit.
 
Back
Top Bottom