Nimeshtuka baada ya kuiona Dodoma, kwanini imeitwa jiji?

kiben10

JF-Expert Member
Apr 28, 2018
616
789
Naombeni nitoe Ushuhuda wa Safari yangu hii ambayo niliianza juzi j5 hadi hivi leo ndio natoka hapa Dom ila WHY DODOMA KUITWA JIJI??? Nimepata shock sana wazee wa tafakuri ya JIJI sio kwamba alisema jiji amekosea ila HADHI ya jiji wote tuliowahi kutembelea majiji makubwa barani Africa tunalifahamu nini maana ya neno JIJI.
Sasa naomba niwape nilichokiona mimi pale DOM aisee hata kama wakoloni walisema pale ndio katikati ya Tz basi sawa ila sio kila katikaki ya NCHI lazima pasimikwe kuwa jiji,

Sijaona vitu hivi vinavyotambulisha JIJI

Barabara za lami za viwango?

Maghorofa mwanzo hadi katikati ya mji?

Mataa ya kuongozea magari ya kutosha?

Road reserve ya kutosha?

Pale Bungeni taa zake hazitoshi kabisa na
tena zingine haziwaki kabisaaaaa??

Maeneo ya kuingilia pale Bunge mkono wa
kushoto kutoka Dar maeneo yake ni
machafu, Nyasi zinatunza hadi Nyoka.

Vumbi na Baridi kwa kipindi hichi ni baadhi
ya mada nyongeza tu.


Naombeni nanyi mloyaona pale panapoitwa JIJI tujuzane hapa maana najua viongozi wa Serikali hapa wapo watasikia hichi kilio chetu wanaTanzania.....

kiben10 wa Zinjathropus wa History F2
 
Unge
Naombeni nitoe Ushuhuda wa Safari yangu hii ambayo niliianza juzi j5 hadi hivi leo ndio natoka hapa Dom ila WHY DODOMA KUITWA JIJI??? Nimepata shock sana wazee wa tafakuri ya JIJI sio kwamba alisema jiji amekosea ila HADHI ya jiji wote tuliowahi kutembelea majiji makubwa barani Africa tunalifahamu nini maana ya neno JIJI.
Sasa naomba niwape nilichokiona mimi pale DOM aisee hata kama wakoloni walisema pale ndio katikati ya Tz basi sawa ila sio kila katikaki ya NCHI lazima pasimikwe kuwa jiji,

Sijaona vitu hivi vinavyotambulisha JIJI

Barabara za lami za viwango?

Maghorofa mwanzo hadi katikati ya mji?

Mataa ya kuongozea magari ya kutosha?

Road reserve ya kutosha?

Pale Bungeni taa zake hazitoshi kabisa na
tena zingine haziwaki kabisaaaaa??

Maeneo ya kuingilia pale Bunge mkono wa
kushoto kutoka Dar maeneo yake ni
machafu, Nyasi zinatunza hadi Nyoka.

Vumbi na Baridi kwa kipindi hichi ni baadhi
ya mada nyongeza tu.


Naombeni nanyi mloyaona pale panapoitwa JIJI tujuzane hapa maana najua viongozi wa Serikali hapa wapo watasikia hichi kilio chetu wanaTanzania.....

kiben10 wa Zinjathropus wa History F2
Ungekaa kidogo ungeshuhudia mvua ya vumbi, ungelazimika kununua miwani ya jua make sipati picha ya hicho kijiji. Kipindi kile wanapendekeza kuwe makao makuu hitaji lilikuwepo. Lakini kwa sasa, umuhimu haupo, tatizo ni ukurupukaji wa jiwe
 
Sasa mfano Johannesburg au cairo utafananisha na jiji lipi kwa Tanzania..... Unapoongelea majiji ya nje ya Tanzania ujue hata Dar haitoingia......sisi tupambane humu humu ndani kwanza kwa viwango vya humu.

By the way unaonekana hata sifa za mkoa kuitwa jiji kwa Tanzania huzijui zaidi unajua ni miundombinu tu.
 
Dom kua jiji mi sioni ni tatizo(japo sihafiki)
Tatizo ni makao makuu kua hapo.tuliambiwa majaliwa na makamu wamehamia dom,ila kila siku wapo dodoma
 
Unaonaje usiende kuishi kwenye hayo majiji makubwa uliyowahi kutembelea.?
ila umeiweka kwa hasira haijakaa vizuri ulichoandika na ulichotaka kuandika havijafanana! nafikiri ulikuwa unamaanisha "unaonaje ukienda kuishi kwenye hayo majiji makubwa uliyotembelea". mwisho wa kurudia.
 
Naombeni nitoe Ushuhuda wa Safari yangu hii ambayo niliianza juzi j5 hadi hivi leo ndio natoka hapa Dom ila WHY DODOMA KUITWA JIJI??? Nimepata shock sana wazee wa tafakuri ya JIJI sio kwamba alisema jiji amekosea ila HADHI ya jiji wote tuliowahi kutembelea majiji makubwa barani Africa tunalifahamu nini maana ya neno JIJI.
Sasa naomba niwape nilichokiona mimi pale DOM aisee hata kama wakoloni walisema pale ndio katikati ya Tz basi sawa ila sio kila katikaki ya NCHI lazima pasimikwe kuwa jiji,

Sijaona vitu hivi vinavyotambulisha JIJI

Barabara za lami za viwango?

Maghorofa mwanzo hadi katikati ya mji?

Mataa ya kuongozea magari ya kutosha?

Road reserve ya kutosha?

Pale Bungeni taa zake hazitoshi kabisa na
tena zingine haziwaki kabisaaaaa??

Maeneo ya kuingilia pale Bunge mkono wa
kushoto kutoka Dar maeneo yake ni
machafu, Nyasi zinatunza hadi Nyoka.

Vumbi na Baridi kwa kipindi hichi ni baadhi
ya mada nyongeza tu.


Naombeni nanyi mloyaona pale panapoitwa JIJI tujuzane hapa maana najua viongozi wa Serikali hapa wapo watasikia hichi kilio chetu wanaTanzania.....

kiben10 wa Zinjathropus wa History F2
Ulishafika Tanga na Mbeya nayo ni majiji ati
 
kwani sifa ya jiji ni kuwa na maghorofa,wana darsalama wengi hawajafurahishwa na government kuhamia dodoma, watanzania tukutane wote katikati ya nchi ,itafika mda hzo barabara,stend na vingine vyote vitakaa sawa
 
Back
Top Bottom