ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hahahhaahahha kataka mwenyewe kasema anaingiza mombasa kusaidia nairobi so nimemwambia twende kazi si anataka kupima nguvu za hoteli afungue kifua kama yeye mwanaume hata wewe unaeza msaidia kumbe mwenye Serena humjui hahhahahaha ngoja nikuoneshe nani mwenye nayo😀😀😀walai sijawai ona mtu dwanzi kama Jichoboy. kujichocha ndio zake tu. unajisifia hoteli nzuri na hotel ya kwanza unapost ni ya mKenya, ilianza Kenya na hq yake iko Kenya. yours is just a branch and mind you, pesa zote zarudi nyumbani, Kenya.
😀😀 agha khan ndio kenya hehhehe