ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
so now tupo kwenye lugha heheheh😀😀😀Not the same magnitude that is in Dar ni mitindo ya waharabu(Arabs) na ni kama Mombasa kabisaa, hadi lugha.
so now tupo kwenye lugha heheheh😀😀😀Not the same magnitude that is in Dar ni mitindo ya waharabu(Arabs) na ni kama Mombasa kabisaa, hadi lugha.
mji wenye ghorofa 15,ndo ufananishe na dar...hahaaa mnachekesha sana!
Nimeshakuondoa kwenye watu wenye akili. Wewe ni debe tupu. Hapa ni GT kijana nenda JamiiForums.com huko wanaongea ukabila tu na kuaibishana. Hii media ni ya Critical Thinkers. Huiwezi wewe kijana.Your thinking and argument is the reason, mtanzania ni Tomaso(doubting Thomas), lazima ajionee ndiyo aamini, la sivyo mtapingana hadi..., nimewaelewa sana. I rest my case.
khaaa aisee hapo wapi hapo ni Rio de jeneiro au ???mbona sehemu nzuri sana ..Tihahahhaaaaa... Eeeh ghorofa tatu hii yenu
View attachment 810683
utaamini hatakama hutak kuamini😀😀Tihahahhaaaaa... Eeeh ghorofa tatu hii yenu
View attachment 810683
Who said? Kenya ni Africa, what we do ni kuchallenge your citizens' thinking about Kenya. No one denies our shortcomings, lakini haziko the way they are exaggerated in several writings., ndio maana wale watz wenye uwezo wa kutembea mahali pote Nairobi wanakubali Nairobi bila ubishi si wale wanafika river road, mahali mabasi ya kutoka Dar hupakia, na wanaishi sehemu kulingana na mfuko yake., the rich Tanzanians, nawapenda sana, wanafika na V8 ama Range, very reasonable. Wanasema maoni yao open and clear, wako na uwezo wa kuzunguka, hawategemei mtandao.Kila siku huwa nawaandikia hapa, ukiwasoma hawa wakenya humu unaweza kufikiri nairobi ni kama new york,tokyo fulani hivi na wakenya kama watu fulani wa juu sana. Wanafikri hatujaishi nao na hatujui mambwira kibao ya kikenya!
Kama wewe ni critical thinker, then am in a wrong forum!!!!,Nimeshakuondoa kwenye watu wenye akili. Wewe ni debe tupu. Hapa ni GT kijana nenda ********* huko wanaongea ukabila tu na kuaibishana. Hii media ni ya Critical Thinkers. Huiwezi wewe kijana.
khaaa aisee hapo wapi hapo ni Rio de jeneiro au ???mbona sehemu nzuri sana ..
Truth be told, Dar has a unique look(Arabic, Swahili design), na location(coastal)., you can't compare to Nairobi(western look). Maybe you develop design ya Doha, Qatar., as at now, good
but bado!ohhh My GOD😀😀😀 but mbona haipo kwenye hii list au wazungu wanawaonea nyinyi tuHahahaha.... It is one large slum that is giving East Africa a bad name
hii ndio western look hahah enhh Mungu nipe umri niyaone mengi😀😀😀😀Truth be told, Dar has a unique look(Arabic, Swahili design), na location(coastal)., you can't compare to Nairobi(western look). Maybe you develop design ya Doha, Qatar., as at now, goodbut bado!
ebwana eeeeeehh dar tamu aiseee..
Who said? Kenya ni Africa, what we do ni kuchallenge your citizens' thinking about Kenya. No one denies our shortcomings, lakini haziko the way they are exaggerated in several writings., ndio maana wale watz wenye uwezo wa kutembea mahali pote Nairobi wanakubali Nairobi bila ubishi si wale wanafika river road, mahali mabasi ya kutoka Dar hupakia, na wanaishi sehemu kulingana na mfuko yake., the rich Tanzanians, nawapenda sana, wanafika na V8 ama Range, very reasonable. Wanasema maoni yao open and clear, wako na uwezo wa kuzunguka, hawategemei mtandao.