Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
nyie bado mnalelewa .......hii air tanzania ni noma sana mambo ndiyo kwanza yanaanza tunawanyoshaAty compete with @flyethiopia & @kenyaairways![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kudos
nyie bado mnalelewa .......hii air tanzania ni noma sana mambo ndiyo kwanza yanaanza tunawanyoshaAty compete with @flyethiopia & @kenyaairways![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kudos
siku hzii korea imehamia westland😀😀😀
YaaniGeita gold producing region...cheki barabara za wanaoDanganyika 🙁🙁🙁
![]()
Udsm ilitawala sana rankings, ili anguka baada ya kuondoa kitengo cha medicine. Kama Muhimbili ingekua bado ni part ya Udsm sizani kama ingekua inakosa kwenye top 5 Africa. Kuna jitihada zili anza kufanywa kurudisha hiyo idara ila changamoto zikawa nyingiUdsm ilikua kubwa sana imezaa Ardhi university and Muhimbili university
Sasa Nyie kelele tu ndio kitu mnaweza
Pale muhimbili ni university of health and allied science Na apo Ardhi inajieleza mambo ya land survey nk, pia hivi majuzi udsm imeongeza school of agricultural Japo ilikua Maalumu kule Sokoine Morogoro...
Jifunze
YATAPATA TAABU SANA HAYA MANYANG,AUOne of the famous urban renewal in Korea. Used to be an elevated highway now a pedestrian friendly walkway .
Acha kupandwa na preshaYATAPATA TAABU SANA HAYA MANYANG,AU
For 10 points hapa ni wapi Bongolalaland?
![]()
unazungumzia geita heheh wakat hii nairobi mjini😀😀😀😀😀😀Geita gold producing region...cheki barabara za wanaoDanganyika 🙁🙁🙁
![]()
wajanja washakula pesa alaf wengine wanafunga barabara😀😀😀😀😀😀
Anaongea kuhusu BARABARA
NIWAONEE WIVU KWA MABANDA YA KIBERA? HA, HA,Acha kupandwa na presha
Punguza WIVU
geita bus stand hehehe😀😀😀😀😀Geita gold producing region...cheki barabara za wanaoDanganyika 🙁🙁🙁
![]()