Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
hata tungekuwa na iraq ......ni vyema tu si tatizo......usiende mbali anagali karibu bado hali si shwali..... pambana na hali yakoFIFA Ranking mko na Somalia..... .
hata tungekuwa na iraq ......ni vyema tu si tatizo......usiende mbali anagali karibu bado hali si shwali..... pambana na hali yakoFIFA Ranking mko na Somalia..... .
OK..! sawa!!That's called PRIDE my friend, I'm always proud and happy when a Kenyan team anything.
Hongera Gor Mahia kwa Ushindi, But nawakumbusha tena kuwa that was Simba B, Hatuwezi kuleta our professional Players like Emanuel Okwi, John Boko, Asante Kwasi kwenye Unprofessional Bonanza being aired by Unprofessional Media and in Those Poor facilities,
Please Let me remind you that natamani sana Timu za Kenya zinavyokamia gemu walahi hiyo spirit tungekuwanayo wabongo tungefika mbali, Your players are so serious and organised on the pitch,
Kwenye football Tz is ahead of Kenya. Don't be deceived by these Bonanzas.kitu yenye watanzania wako nayo ni mdomo tu 😀😀😀
kagame cup huwa hawaambuliagi kitu...... huwa wanaishia juu kwa juuKipofu kaona mwezi humu ndani hatulali. Ngoja tusubiri kagame cup tuwaone. Hata hivyo Simba wachezaji kibao hawakuwepo. Asante Kwasi, Emmanuel Okwi, Haruna Niyonzima, Bokko nk.
hata tungekuwa na iraq ......ni vyema tu si tatizo......usiende mbali anagali karibu bado hali si shwali..... pambana na hali yako
Ke
Kwenye football Tz is ahead of Kenya. Don't be deceived by these Bonanzas.
Najaribuvkuwaza tu jinsi Go Mahaya walivyokuwa wamekamia huu mpira. Ingetokea simba wangekuwa mbele hata kwa bao moja tu, hakika vijana wa kenya wange vunja miguu vijana wetu. Nimeutazama mpira mwanzo mwisho. Kusema kweli Simba hawakuchukulia serious but Go Mahaya walikuwa wamekamia sana. Unaweza kuona tu walipokuwa wanashambuliwa walikuwa wanakaba kwa hasira kama wavuta bangi.Ke
Kwenye football Tz is ahead of Kenya. Don't be deceived by these Bonanzas.
so pamoja na ushindi gor mahia ina maendeleo gani?? where are the gor mahia developments??😀Ni hujumaa[emoji23][emoji23] i honestly thought wametushinda football only, kumbe basi na ofisi za ichogal hazijasaidia kucheza mechi
wanajipa matumaini wakat wamecheza na simba BDon't be exited, That was Simba B
Najaribuvkuwaza tu jinsi Go Mahaya walivyokuwa wamekamia huu mpira. Ingetokea simba wangekuwa mbele hata kwa bao moja tu, hakika vijana wa kenya wange vunja miguu vijana wetu. Nimeutazama mpira mwanzo mwisho. Kusema kweli Simba hawakuchukulia serious but Go Mahaya walikuwa wamekamia sana. Unaweza kuona tu walipokuwa wanashambuliwa walikuwa wanakaba kwa hasira kama wavuta bangi.
with no single developments😀😀😀😀Hahaha Gor Mahia the only continental trophy holder in East Africa.........
This team always makes me happy..kesho kwa ofisi ni raha tupu
Leta link ya kuprove point yako...Ama screen short tu list alafu ulete.Ke
Kwenye football Tz is ahead of Kenya. Don't be deceived by these Bonanzas.
Mimi nawapongeza simba wamecheza kistaarabu na kutuliza mihemko ya wakenya. Mpira ni burudani na siyo vita bana. Hata hivyo nimegundua timu za kenya zikikutana na timu za TZ wakenya wanaondoka kwenye mpira na kufanha mechi iwe kama vita. All in all Go mahaya ni team ndogo sana kwa simba kwa analysis zangu nilizoziona leo.
wanafurahia ushindi wa sportpesa wakati mashindano mengine yaja na huwa hawana recordMimi nawapongeza simba wamecheza kistaarabu na kutuliza mihemko ya wakenya. Mpira ni burudani na siyo vita bana. Hata hivyo nimegundua timu za kenya zikikutana na timu za TZ wakenya wanaondoka kwenye mpira na kufanha mechi iwe kama vita. All in all Go mahaya ni team ndogo sana kwa simba kwa analysis zangu nilizoziona leo.
with no single developments😀😀😀😀
poor stadiumTihahahhaaaaa..... Kwi kwi kwi kwi..... Absolute boring football. No skill, No talent, Weak players.