Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naangalia mpira hapa kiukweli kiwanja kibaya hiki inahitaji moyo kucheza
Ukimaliza nilazima mchezaji upate Panadal zakutosha
Uwanja mbaya kweli
ila Simba wanacheza chini ya kiwango kabisa
yanatia hasira
Sijui yamekuwaje
 
hahahaha....hahahaha.....wakenya roho unawauma sana kuona kwao kuna slums halafu tz hakuna.

wameamua kujivifa uandishi wa kuandika articles kuhusu makazi ya tanzania.
Angalia wakenya wanavyojua kuongopa:
Wameandika Dodoma ni part of Daressalaam wakati siyo!
Makosa....Tandika wameandika Taundika!
Na Kariakoo ameandika Kariokor!
Mwandishi anadai eti wale wachonga vinyago pale wenge wanaishi katika umasikini mkubwa na mwenge ni eneo la slums!

Uwongo mtupu kabisa. Ni wazi mwandishi haijui Tanzania wala Dar hata kidogo. Wamejaa chuki na TZ tu.
Screenshot_20180607-122712.jpg
 
Angalia wakenya wanavyojua kuongopa:
Wameandika Dodoma ni part of Daressalaam!
Makosa Tandika wameandika Taundika!
Na Kariakoo ameandika Kauriakor!
Mwandishi anadai eti wale wachonga vinyago pale wenge wanaishi katika umasikini mkubwa na mwenge ni eneo la slums!

Uwongo mtupu kabisa. Ni wazi mwandishi haijui Tanzania wala Dar hata kidogo. Wamejaa chuki na TZ tu.View attachment 796649
hawa dar washaifahamu kua sio level ya sasa kilichobakia ni kulazmisha waonekane na wao wamo hawajashindwa😀😀
 
Huyu kijana wa Mazense anapinga kila kitu....he is soon denying his own existence
kama ni dar nitakwambi na kama sio dar nitakwambia sio hehehhe usitake tufanane wakati hatuwez fanana uani ulazmish slum ziwepo wakat hakuna😀😀😀
 
Angalia wakenya wanavyojua kuongopa:
Wameandika Dodoma ni part of Daressalaam wakati siyo!
Makosa....Tandika wameandika Taundika!
Na Kariakoo ameandika Kariokor!
Mwandishi anadai eti wale wachonga vinyago pale wenge wanaishi katika umasikini mkubwa na mwenge ni eneo la slums!

Uwongo mtupu kabisa. Ni wazi mwandishi haijui Tanzania wala Dar hata kidogo. Wamejaa chuki na TZ tu.View attachment 796649
Huyu aliandika hii makala atakuwa ni member Wa jf kutoka Kenya.

Na huu uhuni wanafanya kwenye mambo mengi tu.bahati mbaya kuhusu slums inahitajika research iliyotukuka,sio hii ya baada ya kushiba githeli na togwa.
 
Huyu aliandika hii makala atakuwa ni member Wa jf kutoka Kenya.

Na huu uhuni wanafanya kwenye mambo mengi tu.bahati mbaya kuhusu slums inahitajika research iliyotukuka,sio hii ya baada ya kushiba githeli na togwa.
wazungu waliona sluma nairobi na hawakuona dar sasa leo watasema mzungu hakufanya research au aliwaonea tu😀😀😀😀
 
Watakuambia dream houses hizo....hehehe
Sasa unataka uambiweje??,hizo ni nyumba za watu masikini Wa kipato cha chini kabisa.

Nionyeshe nyumba zao watu Wa kipato cha chini wa Nairobi.
 
Angalia wakenya wanavyojua kuongopa:
Wameandika Dodoma ni part of Daressalaam wakati siyo!
Makosa....Tandika wameandika Taundika!
Na Kariakoo ameandika Kariokor!
Mwandishi anadai eti wale wachonga vinyago pale wenge wanaishi katika umasikini mkubwa na mwenge ni eneo la slums!

Uwongo mtupu kabisa. Ni wazi mwandishi haijui Tanzania wala Dar hata kidogo. Wamejaa chuki na TZ tu.View attachment 796649
Mwandishi nimoja ya Vilaza wa JF toka Kenya mbona hilo linafahamika
 
Huyu aliandika hii makala atakuwa ni member Wa jf kutoka Kenya.

Na huu uhuni wanafanya kwenye mambo mengi tu.bahati mbaya kuhusu slums inahitajika research iliyotukuka,sio hii ya baada ya kushiba githeli na togwa.
Hawaelewi kuwa Tanzania imejengwa na Watanzania wenyewe. Wao walipata mteremko kujengewa na waingereza lakini wameshindwa ku maintain kainchi chao zaidi ya kuongezeka kwa slums.
 
Hawaelewi kuwa Tanzania imejengwa na Watanzania wenyewe. Wao walipata mteremko kujengewa na waingereza lakini wameshindwa ku maintain kainchi chao zaidi ya kuongezeka kwa slums.
tena ugonjea wa slums in nairobi ni ugonjwa mkubwa sana unaokula maisha ya wakenya kila leo ila wao wanaona ni sawa😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom