Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
kupo rafu sana halafu sijui hiyo highway wameijenga kwa nini...i knw the place is called kondolee hapa ndipo watu wa hali ya chini sana huishi kwenye vibanda vyao
View attachment 791619
maana bado mji hauna mahitaji wakuwa ni hiyo kitu.....after 50yrs foreni kama kawaida.....wakenya hawafikirii future
️