I am a prophet.
PROOF
In the next three photos of Dar, at least one will contain PSPF Towers and TPA Tower.
I am a prophet.
PROOF
In the next three photos of Dar, at least one will contain PSPF Towers and TPA Tower.
macho yataona na mdomo mtaongea......Hata mkiweka hizo zote bado Nairobi hamjafika nusu yake.
Lusematic, sidhamirii kukukosea heshima ila kusema hiyo nyumba haina mvuto wakati tunajua aina za nyumba zinazopatika Dar ni kuwa blinded na uzalendo. 90% ya estates za Nairobi ni apartments ndo maana licha ya Nairobi kuwa ni eneo ndogo sana, iko na idafu ya watu almost the same na Dar licha ya ukubwa wa Dar kieneo. Nyingi za nyumba za Dar ni gable za pande nne na mabati zilizorust. Nashangaa kati ya nyumba kama hiyo na ile uliyoleta hapo juu ya Nairobi gani haina mvuto.hazipo kwenye mvuto .......yaani zinamuonekano mbaya
mfano tizama hizo estate zenu ambazo zipo kwenye ule mrejesho wako wa aerial view ...ni mbaya ila kilichozibeba ni mpangilio tu,,
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 785402View attachment 785403
Huu ndo ukweli kuhusu Dar hadi hata nashangaa mtu anaposema nyumba za Nairobi hazina mvuto.Haya ndio majengo ya mwananchi wa kawaida Dar.
![]()
hata kama ingekuwa dar uswazi ya dar watu wanaishi maisha mazuri na easy kuliko mliopo kwenye hizo malighafi chakavu sio siri mnatia haibu....chini ya aerial view ni matope tu wakenya mna vituko au unadhani sijawahi fika nairobi nini nakutembelea baadhi ya sehemu.....Ebu fananisha na hizi.
![]()

hata kama ingekuwa dar uswazi ya dar watu wanaishi maisha mazuri na easy kuliko mliopo kwenye hizo malighafi chakavu sio siri mnatia haibu....chini ya aerial view ni matope tu wakenya mna vituko au unadhani sijawahi fika nairobi nini nakutembelea baadhi ya sehemu.....
ifike kipindi tukubali tu hapo hakuna kitu![]()
![]()
dar inamaeneo chokozi lakini si kila eneo.....kwa dar ..hakuna eneo kubwa kama hilo lililovurugika ila maeneo yapo ipo siku humu tutaanzisha hoja natutawawekea maeneo yote ya dar na nyie muweke maeneo yenu hatarishi kisha tuchanganue wapi kwenye nafuu.....maana hamuijui darMost of Dar es Salaam iko hivi. Mbona mnakataa mambo ambayo yako wazi?
Ni vizuri sana umeanza statement yako na neno tuwache ushabik. I hope you mean it. Sasa niko na swali moja, kati ya hizo nyumba za githurai ambazo nyingi ziko self-contained na zile nyumba za Dar za uswahilini zenye muonekano wa gebo na bati zilirokulwa na rust, gani haina mvuto. Ama kwa upande wako hupendi tu nyumba za apartment? Japo ni ngumu kukubali, lakini ukweli ni kwamba Nairobi imeendelea kuliko Dar kwa swala la estates na mpangilio wa estatestuache ushabiki hebu tuweke unafki pembeni nilichokuwa namaanisha ni hiki hapo ni githurai nairobi na moja ya picha ni likoni......
na hiki kitu ndicho kinachofanya dar iwapige bao
kweli hizi ndiyo nyumba bora unazosema zilizopo naitobi...![]()
tuache utani EAST AFRICA tunasafari ndefu........kwa ndipo tunapojitambia humo kwa aerial view
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 785406View attachment 785407View attachment 785408View attachment 785409View attachment 785410View attachment 785411View attachment 785412View attachment 785413
90% ya Dar inakaa hivi, amini usiamini. Mimi ndiye nakueleza.dar inamaeneo chokozi lakini si kila eneo.....kwa dar ..hakuna eneo kubwa kama hilo lililovurugika ila maeneo yapo ipo siku humu tutaanzisha hoja natutawawekea maeneo yote ya dar na nyie muweke maeneo yenu hatarishi kisha tuchanganue wapi kwenye nafuu.....maana hamuijui dar
vuta pumzi bob.....
ndiyo maana nasema hivi dar kwa maeneo ya uswahilini nyumba zimejimix zikiwemo hizo za pembe nne na zatofauti na hizo nyumba ambazo unazisema ni nyumba ambazo hata nairobi zipo tukiitoa kibera na hizo estate kuna maeneo hizo nyumba unazozisema zipo napia tuwe wakweli mda mwingine mbali ya slums na hizo estate pia nairobi inayo maeneo ambayo nyumba zake hunana na nyumba za uswazi za dar,,,,usilikatae hiloLusematic, sidhamirii kukukosea heshima ila kusema hiyo nyumba haina mvuto wakati tunajua aina za nyumba zinazopatika Dar ni kuwa blinded na uzalendo. 90% ya estates za Nairobi ni apartments ndo maana licha ya Nairobi kuwa ni eneo ndogo sana, iko na idafu ya watu almost the same na Dar licha ya ukubwa wa Dar kieneo. Nyingi za nyumba za Dar ni gable za pande nne na mabati zilizorust. Nashangaa kati ya nyumba kama hiyo na ile uliyoleta hapo juu ya Nairobi gani haina mvuto.
Sasa eneo inakuwa hatarishi na chakavu kwa sababu iko na apartments kila mahali au unajaribu kumaanisha nini? Apartments ni desturi ya Nairobi so kama unaziogopa endelea kuishi kwa hizo swahili shacks with rusty iron sheets. Nasikia mnaziita dream houses huko Dardar inamaeneo chokozi lakini si kila eneo.....kwa dar ..hakuna eneo kubwa kama hilo lililovurugika ila maeneo yapo ipo siku humu tutaanzisha hoja natutawawekea maeneo yote ya dar na nyie muweke maeneo yenu hatarishi kisha tuchanganue wapi kwenye nafuu.....maana hamuijui dar
vuta pumzi bob.....
Wewe unaishi Dar, hujafika Nairobi. Nyumba za Nairobi ni bora kuliko za Dar na uchumi wa Nairobi ni zaidi ya mara tatu wa Dar lakini unasema maisha ya Dar ni bora. Uboya umekujaa.
sawa sikila kitu chakujishow hapa,,,,,tufanye sijafikaIt's not an issue ya yeye kuamini. Mbona aamini wakati anajua ukweli kabisa kwamba huo ndo uhalisi wa mambo? Nilimshangaa sana niliposikia akisema nyumba za Nairobi ni chakavu na hazina mvuto. Nashangaa hizi nyumba za dar kwenye hizi picha ziko na mvuto gani? it's called being blinded by patriotism90% ya Dar inakaa hivi, amini usiamini. Mimi ndiye nakueleza.
![]()
![]()
![]()
Hehehe.............huyu jamaa ni wa kuhurumiaIt's not an issue ya yeye kuamini. Mbona aamini wakati anajua ukweli kabisa kwamba huo ndo uhalisi wa mambo? Nilimshangaa sana niliposikia akisema nyumba za Nairobi ni chakavu na hazina mvuto. Nashangaa hizi nyumba za dar kwenye hizi picha ziko na mvuto gani? it's called being blinded by patriotism
Huwezi pata nyumba kama hizo Nairobi nje ya mitaa duni (slums). Hiyo nakuhakikishi bila uoga au mapendeleondiyo maana nasema hivi dar kwa maeneo ya uswahilini nyumba zimejimix zikiwemo hizo za pembe nne na zatofauti na hizo nyumba ambazo unazisema ni nyumba ambazo hata nairobi zipo tukiitoa kibera na hizo estate kuna maeneo hizo nyumba unazozisema zipo napia tuwe wakweli mda mwingine mbali ya slums na hizo estate pia nairobi inayo maeneo ambayo nyumba zake hunana na nyumba za uswazi za dar,,,,usilikatae hilo
hiko kipande cha chini sasa hapo ni. dar hapo umepatia......hilo eneo linaitwa manzese ni sehemu ambayo wanaishi watu wakipato cha chini.....na ukishuka hapo ukitembezwa chini hautoamini unachokiona.....maana kuna mitaa kama kawaida...90% ya Dar inakaa hivi, amini usiamini. Mimi ndiye nakueleza.
![]()
![]()
![]()
kesho tutaendelea........maana na vitu vyenu vizuri vyakuwekana sawaHehehe.............huyu jamaa ni wa kuhurumia
Kuna vitu zingine mtu anafaa tu kukubali mambo yaishe. You can't win in everything. Wakubali tu kwamba Nairobi has better estates than DarHehehe.............huyu jamaa ni wa kuhurumia
nimetumia lugha fasaha sana,,,,,kesho panapo pumzi......inabidi nichape usingizi nowSasa eneo inakuwa hatarishi na chakavu kwa sababu iko na apartments kila mahali au unajaribu kumaanisha nini? Apartments ni desturi ya Nairobi so kama unaziogopa endelea kuishi kwa hizo swahili shacks with rusty iron sheets. Nasikia mnaziita dream houses huko Dar