Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nairobi03.jpg
Karibuni Nairobi
 
hiko kipande cha chini sasa hapo ni. dar hapo umepatia......hilo eneo linaitwa manzese ni sehemu ambayo wanaishi watu wakipato cha chini.....na ukishuka hapo ukitembezwa chini hautoamini unachokiona.....maana kuna mitaa kama kawaida...

Najua hiyo umeogopa kukana maana tutakushika na hiyo BRT. Ila najua hata wewe mwenyewe unajua hizo picha zote ni za Dar na hivyo ndivyo 90% ya Dar inavyokaa.
5402161425_111359aabd_b.jpg
800px-Dar-es-Salaam%2C_Tanzania.jpg
 
Najua hiyo umeogopa kukana maana tutakushika na hiyo BRT. Ila najua hata wewe mwenyewe unajua hizo picha zote ni za Dar na hivyo ndivyo 90% ya Dar inavyokaa.
5402161425_111359aabd_b.jpg
800px-Dar-es-Salaam%2C_Tanzania.jpg
I was going to say the same thing (hiyo y brt). Hakuna vile angekataa hiyo. Si unaona hizo picha zingine mbili amekana si Dar
 
Najua hiyo umeogopa kukana maana tutakushika na hiyo BRT. Ila najua hata wewe mwenyewe unajua hizo picha zote ni za Dar na hivyo ndivyo 90% ya Dar inavyokaa.
5402161425_111359aabd_b.jpg
800px-Dar-es-Salaam%2C_Tanzania.jpg
wapi utapata dar udongo mwekundu hehehe aisee 😀😀 kweli maji yamewakaa shingoni
 
nimeomba kuoneshwa ofisi za jubilee nje ya nairobi mpaka sasa sijapata majibu😀😀😀😀

wakati nimeomba kuoneshwa uwanja kama huu nje ya nairobi nilioneshwa uwanja sehemu mbuzi wanakula majani kule machakos nilicheka sana
😛😛😛
163097C4-EF51-4778-A1A6-98C60394C783.jpeg



dodoma ofisi za ccm
9B10CC8C-B179-4426-9E18-9C090B7A8FCE.jpeg




ofisi za ccm mwanza
5941486E-1C6B-4F6E-8649-0A3F561D1014.jpeg
 
Back
Top Bottom