Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

8401.jpg


Community area with Westlands and Kileleshwa estates in the background
8144.jpg
 
hakuna aliyekataa,,,,ila sikwamba huku nyumba bora zilizokaa kwenye mpangilio hakuna zipo tena nyingi na zimekava nafasi kubwa sana tukiachana na nyumba za uswahilini.....
halafu kingine unapozungumzia estate zungumzia idadi ya nyumba zilizopo mfano estate inaweza ikawa na nyumba alfu moja ama alfu mbili......hapo ndipo mlipotuzidi......hivyo mlichotuzidi ni ukubwa tu wa estate......basi ila dar zipo na kwasasa hivi ndiyo zinajengwa kwa wingi sana soon u will see again changes of dar kwa ukubwa wa estate zaidi tuzidi peana mda jengeni nairobi na sisi tuijenge dar......mwisho wa siku itajulikana tu ipi mbichi ipi mbivu.....
Lusematic, Dar kuna eststes zimepangwa vizuri tena sana ila ni chache. Japo mimi si mkazi wa Dar, lakini zile estates kidogo ziko na mpangilio ni zile za matajiri haswa zile ziko kando ya bahari. Naweza sema hizo ni Oysterbay? Mikocheni, Upanga, and such like estates. Hapo ndo Dar na Nairobi zinatofautiana. Mfano, kwa hizo picha zote nilizoleta, mbili au tatu ndio mitaa za upper middle class na pengine moja ndio ya matajiri lakini utaona ile level ya mpangilio ziko nazo jambo ambalo haliko Dar. Donholm, kwa mfano, ni mtaa wa kawaida sana Nairobi ila iko na nyumba nzuri tena planning pia iko. Yote tisa, tieni bidii mupange mitaa zenu kwa sababu itapatia dar mvuto fulani ambayo kusema kweli kwa sasa haipo
 
tupeane mda wapendwa wakinairobae

1.TAZARA FLY OVER
2.UBUNGO INTERCHANGE & HIGHWAY
3.UBUNGO TO CHALINZE 6LANE
4.NEW BRT around the city town to mbagala,Moroco to tegeta and Gongolamboto

5.SURENDA BRIDGE.....haPa ni mwendo wakucheza juy ya bahari

SOON
 
tupeane mda wapendwa wakinairobae

1.TAZARA FLY OVER
2.UBUNGO INTERCHANGE & HIGHWAY
3.UBUNGO TO CHALINZE 6LANE
4.NEW BRT around the city town to mbagala,Moroco to tegeta and Gongolamboto

5.SURENDA BRIDGE.....haPa ni mwendo wakucheza juy ya bahari

SOON
Hata mkiweka hizo zote bado Nairobi hamjafika nusu yake.
 
Unaposema ziko local nje hadi ndani unamaanisha nini?
hazipo kwenye mvuto .......yaani zinamuonekano mbaya

mfano tizama hizo estate zenu ambazo zipo kwenye ule mrejesho wako wa aerial view ...ni mbaya ila kilichozibeba ni mpangilio tu,,
unnamed.jpg
no-name-7631-777381-1-product.jpg
 
Unaposema ziko local nje hadi ndani unamaanisha nini?
tuache ushabiki hebu tuweke unafki pembeni nilichokuwa namaanisha ni hiki hapo ni githurai nairobi na moja ya picha ni likoni......

na hiki kitu ndicho kinachofanya dar iwapige bao
kweli hizi ndiyo nyumba bora unazosema zilizopo naitobi... tuache utani EAST AFRICA tunasafari ndefu........kwa ndipo tunapojitambia humo kwa aerial view
DSC02463.jpg
unnamed.jpg
images%20(3).jpeg
images%20(2).jpeg
FetchImage%20(1).jpeg
FetchImage.jpeg
images%20(1).jpeg
images.jpeg
 
Back
Top Bottom