ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
unaniletea habari za jamii forum uko serious kweli ??😀😀😀😀
unaniletea habari za jamii forum uko serious kweli ??😀😀😀😀
asanteni UN kwa kumpa ajira kubwa mtanzania
heheh kuna mtu nilimwambia hapa kua na hq za international companies hazikupunguza unemployment in kenya hata kwa asilimia 2% 😀😀😀😀😀










duhhhhh😱😱😱😱😱
hamutazionesha hzi habari😀😀continue to keep tabs on anything that matters Kenya.
hatutazionesha wapi??? Jamii Forums ????hamutazionesha hzi habari😀😀
kokote tu 😀😀😀 hamutaki wazungu waonehatutazionesha wapi??? Jamii Forums ????
😀😀😀
hii habari inakuhusu sana😀😀😀😀hatutazionesha wapi??? Jamii Forums ????
😀😀😀
wazungu wako Jamii Forums au huko Twitter hakuna wazungu na hata kama wapo, hawawezi soma Kiingereza maana tweets zenyewe hazijaandikwa Kimaasai au Kitaita au unamaanisha nini?kokote tu 😀😀😀 hamutaki wazungu waone
kama kawaida kwa wakenya vitu hivyo ni nadrahabari njema kwa tanzania
take care my friend kuishi kwenye slum ni riskbtw you are spamming the thread with tweets. moja au mbili zinatosha.
nitarudi ukimaliza
Render iko wapi kwa hizo buildings alizoleta? Ama render ilipata meaning mpya?Unatueletea renders na under construction. Tukianza pata chafuka humu ndani😀😀