Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

is westland CBD???😀😀😀😀
umehepa swali langu umeogopa kuvuliwa nguo
😛😛😛😛nimecheka sana leo
Hii ni CBD😀😀😀 A city of one tower😀😀😱
2018-05-20_15.21.46.jpg
 
is westland CBD???😀😀😀😀
umehepa swali langu umeogopa kuvuliwa nguo
😛😛😛😛nimecheka sana leo
kama westlands sio cbd basi dar hakuna cbd yoyote sababu zinaendana kwa kila kitu kuanzia majengo
 
kama westlands sio cbd basi dar hakuna cbd yoyote sababu zinaendana kwa kila kitu kuanzia majengo
uhahahah Jay456watt njoo umsikie ndugu yako bana anakwambia westland ni CBD😀😀😀😀😀 NIMECHEKA SANA LEO hio upperhill yenyewe haijafkia hadhi ya kuitwa CBD😛😛😛😛😛😛
 
asanteni UN kwa kumpa ajira kubwa mtanzania
heheh kuna mtu nilimwambia hapa kua na hq za international companies hazikupunguza unemployment in kenya hata kwa asilimia 2% 😀😀😀😀😀
 
uhahahah Jay456watt njoo umsikie ndugu yako bana anakwambia westland ni CBD😀😀😀😀😀 NIMECHEKA SANA LEO hio upperhill yenyewe haijafkia hadhi ya kuitwa CBD😛😛😛😛😛😛
Naona westlands imekuingiza kiwewe.......posta ikimwaga mboga westlands inamwaga ugali
 
tukiwambia wakenya waache kubabaikia wazungu na kuwafanya kama miungu watu huwa wanakasirika.

haya ona sasa huyu mzungu alichowafanya watoto wao. smh.
IMG_20180523_121025.jpg
 
Back
Top Bottom