Spenzia
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 497
- 211
it's westlands Nairobi 3rd cbd vs posta.......dar's one and only cbdAnd that is just westalnds...hapo hatujagusa Upper hill ama cbd
it's westlands Nairobi 3rd cbd vs posta.......dar's one and only cbdAnd that is just westalnds...hapo hatujagusa Upper hill ama cbd
watasubiri msaada kutoka china au wachukue loan hehhehe ukiuliza wapi uchumi watakwambi uko jikoni haujaiva bado😀😀😀😀😀
is westland CBD???😀😀😀😀it's westlands Nairobi 3rd cbd vs posta.......dar's one and only cbd
Hii ni CBD😀😀😀 A city of one tower😀😀😱is westland CBD???😀😀😀😀
umehepa swali langu umeogopa kuvuliwa nguo
😛😛😛😛nimecheka sana leo
kama westlands sio cbd basi dar hakuna cbd yoyote sababu zinaendana kwa kila kitu kuanzia majengois westland CBD???😀😀😀😀
umehepa swali langu umeogopa kuvuliwa nguo
😛😛😛😛nimecheka sana leo
uhahahah Jay456watt njoo umsikie ndugu yako bana anakwambia westland ni CBD😀😀😀😀😀 NIMECHEKA SANA LEO hio upperhill yenyewe haijafkia hadhi ya kuitwa CBD😛😛😛😛😛😛kama westlands sio cbd basi dar hakuna cbd yoyote sababu zinaendana kwa kila kitu kuanzia majengo
na pia corruption na mkenya ni watoto wa mama mmoja baba tofauti😀😀😀😀
unemployment na mkenya ni ndugu wa tumbo moja😀😀😀😀😀😀😀😀
Naona westlands imekuingiza kiwewe.......posta ikimwaga mboga westlands inamwaga ugaliuhahahah Jay456watt njoo umsikie ndugu yako bana anakwambia westland ni CBD😀😀😀😀😀 NIMECHEKA SANA LEO hio upperhill yenyewe haijafkia hadhi ya kuitwa CBD😛😛😛😛😛😛
Acha waagze tu mbona sukari mmefata brazl wakat wanao? mbona alikba kaowa mombasa wakat kule wapo waschana.
hhehehe leo nimecheka sana 😀😀😀😀😀 yani umenionesha vile wewe ni kiazi kabisaNaona westlands imekuingiza kiwewe.......posta ikimwaga mboga westlands inamwaga ugali