Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,951
- Thread starter
- #94,261
Kijana hapa ninakupatia somo. Ninauhakika unajifunza mengi sana. Tukiwa tunakufndisha usipige pige kelele. Jana niliwauliza swali dogo tu mkaishia mitini. Niliwauliza ni nani anayefanya Hotel fulani kuwa 5* class? Mlikimbia bila hata aibu. Nakuona tena umekuja na nyimbo hizo. Maadamu nimekupatia elimu inatosha kilichobaki ni ubishi wa kipumbavu tu.Nirudi huko nyuma kwote kwa sababu ya umbumbumbu wako. Mwanzo wacha kujichanganya mwenyewe. Umesema kwanza yeyote anaweza kubadilisha rating ya hoteli. Nikakuonyesha jinsi mambo yalivyo kwamba kuna rating ya customer na professional rating. Sahii unakuja hapa na mambo ya local guides wakati mwanzo umesema yeyote anaweza badilisha. You can't fool people kijana. Thing is, Dar hamna mahoteli. Kubali upumzike.
Nimekueleza hayo yanafanywa na google local guid. Anaweza akaweka class ya hotel kulingana na level yake. Lakini hizo rates zenye manyota nyota hapo any person can do that kijana.
Kwikwikwikwi. Kichwa kigumu sana walimu wako walikuwa na shida.
Tuendelee sasa maana umepata somo.