ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kingine cha Kuwatia Machungu hicho. Hapa 5* tuu.😀😀😀😀
![]()
Kingine cha Kuwatia Machungu hicho. Hapa 5* tuu.😀😀😀😀
![]()
Kitu kama hii Dar wanakiweza kweli?😀😀😀😀
Nairobi mambo yetu ni 5* tuu.😀😀😀
DusitD2 Hotel
![]()

double treeUsicheze na Nairobi. Hapa 5* tuu.😀😀😀😀😀
Nairobi Serena Hotel
![]()
Kingine cha Kuwatia Machungu hicho. Hapa 5* tuu.😀😀😀😀
![]()
Nachofanya nikumuangalia tu huyu engineer fake nakucheka. Hata Mwasit na El Matodar walikuja na moto zaidi ya huu.naona umeamua kuturudisha kwenye mjadala wa hotels ambao tuliujadili sana siku za nyuma na baadae kuja kuhitimishwa na waziri wenyu anayeshughulika na masuala ya utalii.
kiufupi kwenye ma-hotels mazuri, kenya mpo nyuma sana. hotels zenyu nyingi ni kama museums.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 783499
Wewe ndiye uko nyuma brathee. Dar tulishaizika jana.😀😀😀😀naona umeamua kuturudisha kwenye mjadala wa hotels ambao tuliujadili sana siku za nyuma na baadae kuja kuhitimishwa na waziri wenyu anayeshughulika na masuala ya utalii.
kiufupi kwenye ma-hotels mazuri, kenya mpo nyuma sana. hotels zenyu nyingi ni kama museums.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 783499
Hii ligi ya hotels iliisha janaa mkapigwa 10-0.
Walifyekwa ila hawakutiwa mimba, Sasa ni mimba wamekujia. Wacha niwatie.😀😀😀😀Hii ligi ya hotels iliisha janaa mkapigwa 10-0.
Tena mnaanza...ujinga tu
Nivigumu kuubali ukweli kuwa kwenye hotel tunawazidi mbali sana. Huwezi kupingana na Balala mwenye ajira hapo Kenya alafu msomi. Wewe hiyo Itel ndo inakupa kibuli😀😀Wewe ndiye uko nyuma brathee. Dar tulishaizika jana.😀😀😀😀
5* Hotels in Dar and Nairobi
Dar
1. Hyatt Regency
2. Dar Serena
3. Sea Cliff
Nairobi
1. The Nairobi Safari Club
2. Sarova Stanley
3. Fairmont Norfolk
4. Villa Rosa Kempinski
5. Sankara
6. Nairobi Serena
7. Azure
8. Windsor
9. Laico Regency
10. dusitD2
11. Tribe
12. Palacina
13. Radisson Blue
14. Hemmingways
15. Hilton
16. House of Waine
17. Concord
18. Panari
19. Safari Park Hotel
peacock hotel darYaani Nairobi ingekua pwani sijui ni jiji gani lingeitoboa kwa mahoteli. 5* kila mahali
Azure Hotel😀😀😀
![]()
![]()
hiyo ni porojo tu. haina madhara yoyote.Wewe ndiye uko nyuma brathee. Dar tulishaizika jana
Anajipa moyohiyo ni porojo tu. haina madhara yoyote.
New Major Hotels that opened in Nairobi within the last 5 yearshiyo ni porojo tu. haina madhara yoyote.
Hapo hakuna hotels. Yani nimeona vi gesti house mnasema 5 star hotels Kama kawaida yenu wazee wakupika data.New Major Hotels that opened in Nairobi within the last 5 years
1. Radisson Blue
2. Villa Rosa Kempinski
3. Sankara
4. the BOMA
5. Hemmingways
6. Azure
7. DusitD2
6 of them are 5*
Yaani within the last 5 years Nairobi imefungua more 5* Hotels than the whole history of Dar es Salaam alafu mwengine anatuambia Nairobi ina hotels nzee.😀😀😀
subiri twende nae taratibu 😀😀😀😀😀😀Hapo bado 22 floors Golden Tulip😀😀