Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umesahau mlikimbia humu au kumbukumbu yako ndogo sana hahahhahaha kama uko tayari tuingie kiumeni kelele za nini twende under construction projects hahahhahahah we bongo huijui vzr
pitia uko nyuma utaona hio list aliweka...hao kina mzizima ata sijui kakakuona aliwaeka
 
Kama unajiamini tuanze on going project hapa hatutaki kelele saana kama unajiamini tuingie kiumeni heeehehehheee
3 high rising CBD'S already nyie bado mko kwa ya kwanza. We step 2 steps ahead you guys step one ahead.
 
Burj ukiondoa mnara bado ni refu...ukitoa mnara uap inakuaje?
Ndio maana nimemuuliza akivaa kofia hua anapigia urefu wake maana ni vitu vinataka akili mambo ya ujanja hatutaki tunataka actual heights hahhahahhahaha
 
3 high rising CBD'S already nyie bado mko kwa ya kwanza. We step 2 steps ahead you guys step one ahead.
Unakimbia hahaha twende kiumeni tuoneshe on going projects hahahhahah unataka kuleta mzaha hapa
 
pitia uko nyuma utaona hio list aliweka...hao kina mzizima ata sijui kakakuona aliwaeka
Twende kaka kiumeni maneno ya nini ......Hhahhahahahha kazi ipo mm nakwambia leta nairobi mombasa na kisumu bado hamutoboi kwa dar
 
Projects ina Uzi wake bana hapa tunataka vitu vilivyotayari tu
 
Aliekwambia nani haujahesabiwa hahahhaahhah yani uko Kenya na hujui hehehhheh😀😀😀😀😀😀
unapenda kubisha bila facts....uap haijahesabiwa mnara.....britam ndio mnara wake umehasabiwa juu ni architectural spire
 
hautawezana kijana mdogo, we are making big strides.
Unaogopa alaf unajiita dume hahhahahahha mm hua sitaki porojo mm hua tunaenda chaka kwa chaka tunamalizana kiumeni hahahhaahha
 
ae3dc4bfbde5e6c0a879d5bbff3210de.jpg

wakenya wanaangalia BRT ya 'jozi' kushoto na Dar -kulia...BRT Sio matako kwamba kila mtu analo...kaeni chonjo
 
unapenda kubisha bila facts....uap haijahesabiwa mnara.....britam ndio mnara wake umehasabiwa juu ni architectural spire
Kwani utakubali wewe hahahhahaha kitu kinajionesha chenyewe alaf unaongea nin wewe hata kipofu huwez mdanganya nakwambia
 
Kwani utakubali wewe hahahhahaha kitu kinajionesha chenyewe alaf unaongea nin wewe hata kipofu huwez mdanganya nakwambia
andika...unajua sijawai pinga kama kitu ni kweli.leta tuone tu apa
 
Back
Top Bottom