Ameona hiyo jina "park" akachanganyikiwa. Achana na huyo boya. Ataelewa tu hii sio Dar is slumSafari Park Hotel Iko Nairobi Thika Road wee boya. Endelea kupost brothel ukiita 5 star hotel.
View attachment 782793
Kuna fala hapa anasema Safari Park Hotel iko kwa national park.😀😀😀😀 Maboya hawaamini Nairobi ilivyo mbele.Mbona unalazimisha mambo? Ramada ni ile yenu ya Dar. Hii ya Nai inaiitwa vivyo hivyo alivyoandika
Majamaa ni wakuhurumia tu. Hata na google bado mtu hawezi fanya karesearch kabla aropokwe.😀😀😀😀Ameona hiyo jina "park" akachanganyikiwa. Achana na huyo boya. Ataelewa tu hii sio Dar is slum
Watu hapa sijui ni kutosoma ama kutotembea ama ujinga. 😀😀😀😀Mbona unalazimisha mambo? Ramada ni ile yenu ya Dar. Hii ya Nai inaiitwa vivyo hivyo alivyoandika
ishapostiwa hii mara ya tatu unapost😀😀😀😀I don't really get the point of this thread if Dar a coastal city can be defeated by Nairobi in almost every aspects INCLUDING HOTELS [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23].... This is no longer a war then... View attachment 782801View attachment 782803View attachment 782804
5 star ulishindwa, nikakuwekea Villa Rosa Kempinski ukaniwekea Hong Kong Brothel.😀😀😀Unataka 5 star?
Wee boya sijapost Lazizi hotel. Unadhani sisi ni kama nyie? Kuna mahoteli NAIROBI kibao hatujapost.unarudia picha zote zishapostiwa na nairobiwalker rudi page za nyuma hehhehe😀😀😀😀
Alafu ukiskia Wakisifu kariokoo UNAEZA dhani ni Beijing[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hii sasa ni 5 star!!!!
Hakuna za uso umepigana, mapicha yote unapachika ni ya aibu dar imeacha nairobi kwa mdomoMnaongea sana vijana wa kenya. Unaongea sana action zero.
Nimekupiga za uso uso sasa hivi unawaya waya tu. Umeishiwa kijana.
They discuss with a lot of emotions, how do you expect them to conduct some little research? Hata links wanazoleta hawasomangi kujua inaongelea niniMajamaa ni wakuhurumia tu. Hata na google bado mtu hawezi fanya karesearch kabla aropokwe.😀😀😀😀
5 star ulishindwa, nikakuwekea Villa Rosa Kempinski ukaniwekea Hong Kong Brothel.😀😀😀
Villa Rosa Kempinski Nairobi
![]()
Hong Kong Brothel 😀😀😀😀
![]()
Sikieni fala flani anadharau Radison Blu. Mtu kama huyu tutamfanyaje?Sasa huo uchafu ndio 5 star. Unatutania kijana hapa.
Nadhani kwa sasa kidole kimekuingia kabisa leo uzi mtamu hadi raha😀😀😀😀Sasa huo uchafu ndio 5 star. Unatutania kijana hapa.