Inamaanisha hamna 5 star hotels huko maana hizo ndio umekua ukipost.😀😀😀
endelea kurudia picha basi😀😀😀Nadhani kwa sasa kidole kimekuingia kabisa leo uzi mtamu hadi raha😀😀😀😀
Hizi ndio unaita za uso? Kama hizi ni za uso za matako zitakuwaje?😀😀😀😀😀Mnaongea sana vijana wa kenya. Unaongea sana action zero.
Nimekupiga za uso uso sasa hivi unawaya waya tu. Umeishiwa kijana.
Nkt! Hii ni nini sasa... Kibanda? Ama?ABC Travellers Hotel - Dar es salaam
![]()
![]()
![]()

ABC Travellers Hotel - Dar es salaam
![]()
![]()
![]()
Hizi ndio unaita za uso? Kama hizi ni za uso za matako zitakuwaje?😀😀😀😀😀
![]()
Anadharau Radisson Blu na anatupostia huu uchafu?😀😀😀😀Sikieni fala flani anadharau Radison Blu. Mtu kama huyu tutamfanyaje?
Hapana, 5 star ndio hii.😀😀😀😀Kwahiyo hii ndiyo 5 star. Kwikwikwikwikwi
hehhee umemaliza kulia maana mchana umelia sana😀😀😀😀😀Hoteli gani iko na junk food KFC kwa ground floor?
Toa uchafu. Hilo ni jengo multi-purpose wala si hoteli pekee yake. Majengo kama hayo yamejaa Nairobi.