mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
Hilo huwa ni jibu kwa wakenya wanaosema dar kuna 3 blue heights.
Hapana mimi sijasema Dar ina skyscrapers tatu. Mimi nimemwambia Mulisaa kwamba Nairobi haina skycraper moja. Mulisaa huwa anapenda kusema Nairobi ina skycraper moja 😀😀😀😀. Na hilo ni uongo mtupu