show me the last time this building was posted
Ulizaliwa jana? Hujui middle income ina times tower, Kicc, Britam, Kcb, Prism, na kadhalika.
Ulizaliwa jana? Hujui middle income ina times tower, Kicc, Britam, Kcb, Prism, na kadhalika.
endeleeni kupost picha za magari ziko ulaya na uarabuni hehehehe nimecheka sana😀😀😀😀😀 wakat sisi tunawaonesha za hapa hapa bongoHaha jamaa unalia sana. Wewe ndio ulianza debate ya comedians sasa umeanza kutoa machozi. Siku nyingine usiwahi post vipicha vya magari vya wasanii wenu, kama hutaki kulia tena ichoboy
sio mategemeo yangu na sitahusika na kilio chako😀😀😀😀😀😀Ichoboy wacha mchezo. Hio ni kibanda cha mama ntilie ama ni mall?
Kilio. Kwani ujui kuna PPF, Lapf, Nssf, Millenium and Derm towersUlizaliwa jana? Hujui middle income ina times tower, Kicc, Britam, Kcb, Prism, na kadhalika.
Bado unaona tu moja ??😀😀😀
Hizo ni skycrapers. Ama kulingana na wewe skyscraper ni nini?We are talking about skyscrapers.
Hizo ni skycrapers. Ama kulingana na wewe skyscraper ni nini?
anajipa matumaini kwenye hamna😀😀😀Sasa kwanini useme dar es salaam iko nazo tatu au ni kujipumbaza!!!!
Enyewe Ichoboy hata mimi nakubali hilo jumba libomolewe mara moja. Hatutaki Wakenya wapoteze maisha yao.only in kenya
View attachment 782037
Hapana mimi sijasema Dar ina skyscrapers tatu. Mimi nimemwambia Mulisaa kwamba Nairobi haina skycraper moja. Mulisaa huwa anapenda kusema Nairobi ina skycraper moja 😀😀😀😀. Na hilo ni uongo mtupuSasa kwanini useme dar es salaam iko nazo tatu au ni kujipumbaza!!!!