Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar Downtown - Kariakoo
DcqOofaWAAAjyuW.jpg:large
 
Kwikwikwikwikwi. Foleni la kufa mtu

DbsbcShXUAENtgi.jpg


DbsbcSoX4AAb04U.jpg


DbsbcXfWkAEF-EK.jpg
Wewe kilaza ungefanya vizuri zaidi kama ungeleta angalau barabara moja kutoka Dar inayofanana na hizo barabara tatu hapo juu. Utaonekana mjinga wa mwisho ukidharau za wengine wakati wewe hauna hata robo ya unachodharau. Inasikitisha kwamba ulichokiona wewe ni foleni lakini hiyo accident iliyosababisha foleni haujaona. Mbona huo upande wa kushoto hauna foleni? Mbaazi ikikosa matunda.....
 
Wewe kilaza ungefanya vizuri zaidi kama ungeleta angalau barabara moja kutoka Dar inayofanana na hizo barabara tatu hapo juu. Utaonekana mjinga wa mwisho ukidharau za wengine wakati wewe hauna hata robo ya unachodharau. Inasikitisha kwamba ulichokiona wewe ni foleni lakini hiyo accident iliyosababisha foleni haujaona. Mbona huo upande wa kushoto hauna foleni? Mbaazi ikikosa matunda.....
Mbona povu zito hivi rafiki!!?
Haya basi hii hapa

DZ8fRs-W0AAewiI.jpg


DZ8fRr7W4AAASTy.jpg


DdNqWYFX0AA1WAI.jpg

Hesabu sasa mwenyewe
 
Back
Top Bottom