Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ebu niambie kitu ilileta mambo ya You Tube kwanza before uanza kuongea matope hapa hivi...Unaropokwa kama kihara aje😀😀😀
we jamaa ni sometimes yes sometimes no ebu jaribu kurudia post zako..
unataka kudanganya watu hapa,huwezi kumdanganya mtz budaa..
 
we jamaa ni sometimes yes sometimes no ebu jaribu kurudia post zako..
unataka kudanganya watu hapa,huwezi kumdanganya mtz budaa..
huyo toka jana anapngea pumba tu mbele za wanaume😀😀😀sijui anataka nn
 
Stupid. Waambie wenzako wakukanye unajiaibisha. Toa ushamba wako hapa. Unajua hata maana ya WiFi wewe? Sasa ukisha stream live unaangalia kwa kutumia Application ipi? Mbona unajiabisha kijana.
Apps zinatengezwa kukuwezesha uweze kutumia WiFi ili kufanya Stream Live.
Unaangalia TV kwenye simu kwa kutumia Apps dogo. Hivi unajua lakini unachoongea au unapiga kelele tu kama mjinga!?
Huyo Dogo ni kichaa sasa WiFi si ndo unitumia na hizo app hii itakuwa mutu ya kibera talk
 
we jamaa ni sometimes yes sometimes no ebu jaribu kurudia post zako..
unataka kudanganya watu hapa,huwezi kumdanganya mtz budaa..
Nilikuwa nasema unaezawatch Tv channel programms without having the apps of those televosion...Hapo ndo mambo ya You Tube ilitokea, sasa we sijui umetoka shimo gani ukikuja hapa
 
First, u don't have to criticize ujamaa coz China is Ujamaa country, it funds all your projects, so you should shut your ass up and embrace Ujamaa from now onwards.

Secondly, Tanzania Feeds you, We feed you Remember?? If we stop that you all die.
And Thirdly, Landmass don't matter anymore, Israel has small landmass which is indeed a desert but donated food to Kenya,
All your arguments are misplaced!

Please, explain to me how you feed us.
 
Umeskia nikisema ati kuna Tv inamiliki You tube ama izo sasa umejiekea tu. What im trying to tell you is that there is no need to download any tv app yet those programs can be found live on you tube. Hata iyo Azam yenyu mkipenda you can just stream live
Ilo swali ni fumbo ujzlielewa Kwa sababu akili zako finyu sikila TV inafanya mambo yake live na YouTube ndiyo maana kakuuliza YouTube inamiliki TV zote duniani ili iwe live
 
A0B900D5-E07B-4512-80CF-E4781F9DF8E3.jpeg
 
Ilo swali ni fumbo ujzlielewa Kwa sababu akili zako finyu sikila TV inafanya mambo yake live na YouTube ndiyo maana kakuuliza YouTube inamiliki TV zote duniani ili iwe live
Your pugarism is undermining your ratiocinate
 
meanwhile
azam tv mobile app was released in june 2017,today 2018 it has one million plus downloads.

View attachment 776304View attachment 776305

citizen tv mobile app was released in june 2015,today 2018 it has five hundred thousand plus downloads.

View attachment 776307
View attachment 776308

NB:
women lie, men lie but numbers don't lie.
halafu utasikia wakenya wakisema ati wao ndio wanaongoza kwa matumizi ya simu za mkononi na matumizi ya mtandao wa internet east africa...kuna vingine huwezi kupika takwimu.smh.
viva tanzania.

hapa lazima wakenya watakuja na porojo na excuses nyingi.
This Nigga is either dumb and stupid or really uneducated. Like how do you base your argument on number of downloads on an app to determine the number on Internet users in a country... Rudi shule.. Really embarrassing
 
Mimi nataka nikutajie TV 4 zenye tv app arafu unionyeshe zikiwa live on YouTube wewe unaishi zama za mawe stone age
Hahaha hapo sasa, taja tuendelee😀😀😀.... Im not mad to say what what i really know
 
Back
Top Bottom