Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo ukiwa njiani unabeba TV yako? Je, unajua lengo la kuwa na TV Apps? Au tunaongea na jamaa shamba shamba tu fulani!!?
Hu ushamba wenyu utawamaliza walai...Siku izi magari za kusafiri ziko na WiFi ndani so ukitaka kuwatch anything you just stream live... Halaf hueziniambia ati we huwatch izo TV apps ukitembea
 
sasa kwanini tv zenyu zimeweka app kwa appstore if it's not necessary?.
It's called diversification zuzu wewe and in most cases it's meant for those who live outside the country but still want to follow their favourite channels back home in order to keep posted of what's happening in the country. Mbona vitu rahisi hivi mnashindwa kuelewa?
 
Acha ujinga wewe. Ficha upumbavu wako. Hili ni jukwaa la Great Thinkers siyo wajinga kama nyie.
Inamaana unatembea na TV yako kwenye gari, ofisini, uhuru park nk?
All those places umetaja ziko na WiFi except Uhuru park, alaf ueziniambia ati unatoka kwako unaenda kuwatch Uhuru park... We hujinga imekujaza kuliko venye nilikuwa nimekuchukua
 
Hu ushamba wenyu utawamaliza walai...Siku izi magari za kusafiri ziko na WiFi ndani so ukitaka kuwatch anything you just stream live... Halaf hueziniambia ati we huwatch izo TV apps ukitembea
Wewe ni mshamba kweli. Unajua hata maana ya Apps? Sasa stream live unatumia application ipi kuona hizo TV?
Nimesema wewe ni mshamba hujui chochote.
Niambie unatumia Application ipi kuona hizo TV?
 
It's called diversification zuzu wewe and in most cases it's meant for those who live outside the country but still want to follow their favourite channels back home in order to keep posted of what's happening in the country. Mbona vitu rahisi hivi mnashindwa kuelewa?
Hawa watu wa Tz wanaargue cheaply seriously, Saa ebu ona fala fulani hapa ivi hajui ka sikui wifi is readily available in public vehicles and public na private ofices pia
 
All those places umetaja ziko na WiFi except Uhuru park, alaf ueziniambia ati unatoka kwako unaenda kuwatch Uhuru park... We hujinga imekujaza kuliko venye nilikuwa nimekuchukua
Stupid. Waambie wenzako wakukanye unajiaibisha. Toa ushamba wako hapa. Unajua hata maana ya WiFi wewe? Sasa ukisha stream live unaangalia kwa kutumia Application ipi? Mbona unajiabisha kijana.
Apps zinatengezwa kukuwezesha uweze kutumia WiFi ili kufanya Stream Live.
Unaangalia TV kwenye simu kwa kutumia Apps dogo. Hivi unajua lakini unachoongea au unapiga kelele tu kama mjinga!?
 
Wewe ni mshamba kweli. Unajua hata maana ya Apps? Sasa stream live unatumia application ipi kuona hizo TV?
Nimesema wewe ni mshamba hujui chochote.
Niambie unatumia Application ipi kuona hizo TV?
Wawawa😀😀😀 sadieni huyu mwenzenyu before auliwe na ujinka, umejua kitu inaitwa link ama you just go to youtube alaf search Citizen Tv live... That a free lesson usilipe😀😀😀
 
Hawa watu wa Tz wanaargue cheaply seriously, Saa ebu ona fala fulani hapa ivi hajui ka sikui wifi is readily available in public vehicles and public na private ofices pia
Mpumbavu nini. Ujinga wako wa kutokuelewa vitu usijifanye unajua wakati hujui.
Jifunze kwanza kazi za Apps kisha uje hapa.
Ukiwa kwenye gari unataka kuangalia kipindi kwenye TV station privately unafanya nini?
Nyumbani kuna TV moja na mpo wengi unataka kuangalia kipindi kwenye TV station tofauti utafanya nini?
Mbona vitu rahisi sana.
You just watch through your phone kwa kufungua Apps ya TV station husika.

Kama hujui vitu unatakiwa uwe mpole ufundinshwe. Wakenya mnazidi kujiaibisha kabisa humu. Stupid
 
Wawawa😀😀😀 sadieni huyu mwenzenyu before auliwe na ujinka, umejua kitu inaitwa link ama you just go to youtube alaf search Citizen Tv live... That a free lesson usilipe😀😀😀
Nimekuuliza unajua kwanini wanatengenza Apps?
 
Stupid. Waambie wenzako wakukanye unajiaibisha. Toa ushamba wako hapa. Unajua hata maana ya WiFi wewe? Sasa ukisha stream live unaangalia kwa kutumia Application ipi? Mbona unajiabisha kijana.
Apps zinatengezwa kukuwezesha uweze kutumia WiFi ili kufanya Stream Live.
Unaangalia TV kwenye simu kwa kutumia Apps dogo. Hivi unajua lakini unachoongea au unapiga kelele tu kama mjinga!?
Say "YES" to please a fool...You are fool among fools. You only that you can only stream live using those app, jichanue mwenzangu
 
Acha ujinga wewe. Ficha upumbavu wako. Hili ni jukwaa la Great Thinkers siyo wajinga kama nyie.
Inamaana unatembea na TV yako kwenye gari, ofisini, uhuru park nk?
hawa wakenya na huu ushamba wao watakuwa hata wakusafiri wanabeba TV
 
Nimekuuliza unajua kwanini wanatengenza Apps?
Screenshot_20180513-190658.png
Ndo hiyo sasa, alaf uniambie ka hiyo ni app ama youtube😀😀😀...You are a fool among fools
 
It's called diversification zuzu wewe and in most cases it's meant for those who live outside the country but still want to follow their favourite channels back home in order to keep posted of what's happening in the country. Mbona vitu rahisi hivi mnashindwa kuelewa?
hasira hasara... asante kwa povu.
 
Stupid. Waambie wenzako wakukanye unajiaibisha. Toa ushamba wako hapa. Unajua hata maana ya WiFi wewe? Sasa ukisha stream live unaangalia kwa kutumia Application ipi? Mbona unajiabisha kijana.
Apps zinatengezwa kukuwezesha uweze kutumia WiFi ili kufanya Stream Live.
Unaangalia TV kwenye simu kwa kutumia Apps dogo. Hivi unajua lakini unachoongea au unapiga kelele tu kama mjinga!?
kaka una argue na kilaza....yule ni kilaza 100%.mpuuze pls.

ili akuelewe itabidi kichwa chake ukipige makwenzi mengi sana.
 
Back
Top Bottom