ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
yani mtu anasema five floors unasema 35 floors kweli alaf unashupalia kama mshipa wa tako😀😀😀😀Hahahaha..........majamaa wanajaribu kuforce jengo liwe 40 floors.
yani mtu anasema five floors unasema 35 floors kweli alaf unashupalia kama mshipa wa tako😀😀😀😀Hahahaha..........majamaa wanajaribu kuforce jengo liwe 40 floors.
Uzuri ni kwamba huwezi danganya mtu in this era of internet. majibu unapata papo hapo! TPA is 35 floors
mtu anasema are the 5 floors wewe unasema 35floors serious???😀😀😀😀Wewe kiingereza kimekushinda kabisa. Yaani hata hakuna neno 'level' kwenye muktadha wewe unaliweka. Unaweka mambo hayaeleweki. Eti 'that metre from sea level'. Hata mtoto mchanga anaona hiyo sentensi haina maana yoyote.😀😀😀😀
This tells you mnashindana na watu ujinga Iko Kwa kichwa. Kudos to the Kenyan architects, they created several icons there hata huo ujinga wa parliament building wanaleta hapa,it's still the same architects. Hili liwe funzo Kwa vilaza wote wa Tz mnaobishana kipuzi.Uzuri ni kwamba huwezi danganya mtu in this era of internet. majibu unapata papo hapo! TPA is 35 floors
Tanzania Ports Authority Headquarters
Tanzania Ports Authority Headquarters, Dar es Salaam | 1204324 | EMPORIS
Prof Mbarawa gives TPA Tower tenants June 2018 deadline
Basi, nimekubaliana nawe. TPA ni 5 floors. Sio 35 floors tena. Umefurahi sasa wewe kilaza?😀😀😀😀😀😀yani mtu anasema five floors unasema 35 floors kweli alaf unashupalia kama mshipa wa tako😀😀😀😀
Unaona wewe, jinsi mnavyopata shida na matamshi katika maneno ya kingereza mfano "bio" ambayo wengi mnatamka as "biyo" ilhali Ni "bayo" ndivyo wakenya kadhaa wanatamka "thirty" as "thate" na hapo ndipo kingereza kilipo kupitia..mtu anasema are the 5 floors wewe unasema 35floors serious???😀😀😀😀
dah yani leo nimeskitika sana wallah😀😀😀😀😀😀😀Basi, nimekubaliana nawe. TPA ni 5 floors. Sio 35 floors tena. Umefurahi sasa wewe kilaza?😀😀😀😀😀😀
so wewe ni mwalimu wa english???😀😀😀😀😀😀Unaona wewe, jinsi mnavyopata shida na matamshi katika maneno ya kingereza mfano "bio" ambayo wengi mnatamka as "biyo" ilhali Ni "bayo" ndivyo wakenya kadhaa wanatamka "thirty" as "thate" na hapo ndipo kingereza kilipo kupitia..
Sawa tumekubaliana TPA ni 5 floors sivyo? 😀😀😀😀😀😀dah yani leo nimeskitika sana wallah😀😀😀😀😀😀😀
Usikasirike, saidika unaporekebishwa endapo umekosea. Swala la "mwalimu wa english" achana nalo.so wewe ni mwalimu wa english???😀😀😀😀😀😀
Achana na huyo kilaza. Ameng'ang'ana kwamba Mbunifu Majengo amesema TPA ni 5 floors. So nimemueleza tukubaline naye kwamba TPA ni 5 floors.😀😀😀😀Unaona wewe, jinsi mnavyopata shida na matamshi katika maneno ya kingereza mfano "bio" ambayo wengi mnatamka as "biyo" ilhali Ni "bayo" ndivyo wakenya kadhaa wanatamka "thirty" as "thate" na hapo ndipo kingereza kilipo kupitia..
Huyu ameandikwa kazi hapa jf kutetea Tz ndiposa atapinga lolote. If he doesn't win yeye hukatwa mshahara..usishangae hachangii popote pengine kwenye maswala muhimu yanayokumba nchi yake.Achana na huyo kilaza. Ameng'ang'ana kwamba Mbunifu Majengo amesema TPA ni 5 floors. So nimemueleza tukubaline naye kwamba TPA ni 5 floors.😀😀😀😀
at exactly 7:02 - 30 metres from the sea, 35 floors...hakuna neno 35 floors wewe usiongeze chumvi nimeweka mpaka headphone kusikiliza vzr hakuna neno 35 floors
Sasa unataka tukubali hakusema neno 35 floors just because you don't understand English? Hiyo itawezekana kweli my fren'?mm hua situkani waulize wanainijua mm ndio watakwambia vzr wapi kasema neno 35floors😀😀😀😀
Ulitaka achangie wapi?Huyu ameandikwa kazi hapa jf kutetea Tz ndiposa atapinga lolote. If he doesn't win yeye hukatwa mshahara..usishangae hachangii popote pengine kwenye maswala muhimu yanayokumba nchi yake.
Hata wewe vilevileUlitaka achangie wapi?
Ila unabishia bure tuSasa unataka tuesabu hadi underground floors? Wewe mwehu ama nini? Basi Kenya ina Majengo nne yaliyokamilika yenye 40 floors and above. No wonder kila mara mnaongeza floors kwa majengo yenu.😀😀😀😀
hawajielewi hao achana nao alaf hilo jengo limejengwa bondeni kabisa karibu na bahariIla unabishia bure tu
hilo jengo mzunguko wa chini ulio kaa kama Meli
una kama fl 5
jengo ni 40 utake usitake kwann TPA inakuumeni hvo dahhhSasa unataka tukubali hakusema neno 35 floors just because you don't understand English? Hiyo itawezekana kweli my fren'?
mm nina kazi ya kukulisha wewe na familia yako kwa mwaka mzima kazi yenu muwe munakula na kwenda chooni 😀😀😀😀Huyu ameandikwa kazi hapa jf kutetea Tz ndiposa atapinga lolote. If he doesn't win yeye hukatwa mshahara..usishangae hachangii popote pengine kwenye maswala muhimu yanayokumba nchi yake.