Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

dsc_5919-jpg.487177
 
Let's make a deal. Nionyeshe indoor Arena Kama hii Tanzania nami nikuonyeshe Convention Centre in Kenya outside Nairobi. Twende Kazi.😀😀😀😀
image_a08o5586-jpg.532061
kwanza nioneshe wapi kasema 35fl kwenye ile video tumalize TPA kwanza usiniletee uhuni mm sio geza ulole hapa tunamalizana lasivo nakuweka sawa alaf tunaendelea😀😀😀😀😀😀
 
kwanza nioneshe wapi kasema 35fl kwenye ile video tumalize TPA kwanza usiniletee uhuni mm sio geza ulole hapa tunamalizana lasivo nakuweka sawa alaf tunaendelea😀😀😀😀😀😀
Narudia, ni bundles huna ama kiingereza huelewi? Hiyo hapo video tazama 7:01. Najua maskini huna bundles lakini nimeona nikusaidie.😀😀😀😀
 
Narudia, ni bundles huna ama kiingereza huelewi? Hiyo hapo video tazama 7:01. Najua maskini huna bundles lakini nimeona nikusaidie.😀😀😀😀

hakuna neno kasema 35fl usinifanye mm poyoyo
😀😀😀😀😀 unaniletea utani mm
 
Wakati Kenya Airways iko na direct flights to the US nyinyi ndio mnaenda Bunjumbura? Kweli hatuko level moja na nyinyi. Huko tulienda miaka za sabini! hahaha
NA BADO HATUWEKI JUMBO JET..... DAR NI VITUKO 2... NAIROBI BY 2020 ITAFANYA ADMIN KU DELETE HII THREAD AKY WALAI
 
Hahaha wekweli ****
Umeambiwa kabisa Kuna 5fl chini
Sasa unataka tuesabu hadi underground floors? Wewe mwehu ama nini? Basi Kenya ina Majengo nne yaliyokamilika yenye 40 floors and above. No wonder kila mara mnaongeza floors kwa majengo yenu.😀😀😀😀
 
Narudia, tazama video 7:01. Kama huelewi kiingereza sema, kama ni bundles huna sema.😀😀😀😀

nimeskia neno 5floors ambzo ziko chini sijaskia neno 35floors sasa unalazmisha aseme wakat hajasema 😀😀😀leo nimekukamata kiutamu tamu🙄🙄
 
Sasa unataka tuesabu hadi underground floors? Wewe mwehu ama nini? Basi Kenya ina Majengo nne yaliyokamilika yenye 40 floors and above. No wonder kila mara mnaongeza floors kwa majengo yenu.😀😀😀😀
hajasema neno 35floors kazungumzia 5floors tu 😀😀😀😀😀😀😀 na sijaskia neno 35floors
 
Back
Top Bottom