Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hajasema neno 35floors kazungumzia 5floors tu 😀😀😀😀😀😀😀 na sijaskia neno 35floors
Shida ni kiingereza ama nini? Hivi sasa unasema TPA ina 5 floors?😀😀 Narudia, tazama video dakika 7:01.😀😀😀
 
ovyooo kbsa...mbona hujaanzia hapo chini ya moja yako? kumbuka jengo limeanzia level ya chin usawa na hilo gari kwa nje...so ungeanza na moja hapo chini ulipoweka wew moja... na pia kule juu hapo haikuwa mwisho ndio mana nilikuambia anza kuhesabu mpka yellow then umalizie yellow kwenda juu kwa jengo lililokamilika
Nynyi ni wabishi kweli. Mbona mnalazimisha hilo jengo liwe la 40 floors wakati hata 36 hsiwezi fika? kwa akili yako, unaona yawezekana kwamba kutoka hapo alipoanza kuhesabia gorofa ya kwanza kurudi chini hadi mahali hilo gari liko linaweza beba gorofa sita? Nakuiza hivyo kwa sababu alipoanza kuhesabia hadi juu kabisa sote tunaona ni 34 floors. Halafu ujue kuna majumba yako na kitu inaitwa "mezzanine floor." Wachane kulazimisha ujinga, tunajua nyinyi sio wajinga kiasi hicho
 
Nynyi ni wabishi kweli. Mbona mnalazimisha hilo jengo liwe la 40 floors wakati hata 36 hsiwezi fika? kwa akili yako, unaona yawezekana kwamba kutoka hapo alipoanza kuhesabia gorofa ya kwanza kurudi chini hadi mahali hilo gari liko linaweza beba gorofa sita? Nakuiza hivyo kwa sababu alipoanza kuhesabia hadi juu kabisa sote tunaona ni 34 floors. Halafu ujue kuna majumba yako na kitu inaitwa "mezzanine floor." Wachane kulazimisha ujinga, tunajua nyinyi sio wajinga kiasi hicho
huyu anasema 36 hehhe nairobiwalker anasema 35 nani mwaminifu kati yenu???😀😀😀😀
TPA inawapasua vichwa😛😛😛😛
 
wakenya awakiona ma vitu haya wanachanganyikiwa
Dc5VV_BW0AAMh1L.jpg
The three blue towers as usual. Hakuna kipya mnaweza onyesha
 
hakuna neno 35floors sasa we vp nimeskiza kwanzia 6.40 to 7.30 hakuna neno 35floors 😀😀😀😀😀
Basi ni wazi kuwa huelewi kiingereza maana kila anayesikiza hiyo video anaskia architect akisema jengo ni 35 floors dakika ya 7:01. Labda urudi shule ama usikize video kwa makini zaidi. 7:01.😀😀😀
 
huyu anasema 36 hehhe nairobiwalker anasema 35 nani mwaminifu kati yenu???😀😀😀😀
TPA inawapasua vichwa😛😛😛😛
Nishakueleza mimi namquote architect mwenyewe aliyedesign na kusupervise ujenzi wa jengo hili. Tazama video dakika ya 7:01😀😀😀
 
So you mean ita kuja sio ipo, we have the hotel on its final touches wewe unazungumzia will sio mbaya muda ukifika muwike sahv wacheni kabisa
Avic is 70% done so tulia kaka. Halafu what's the difference between something that is in its final touches with something still under construction? Aren't they all still under construction? Ama hiyo ya Dar ishaanza kupokea wageni? 43 tall hotel tower, the first in east and central africa
 
huyu anasema 36 hehhe nairobiwalker anasema 35 nani mwaminifu kati yenu???😀😀😀😀
TPA inawapasua vichwa😛😛😛😛
Nimesema hata 36 HAIWEZI FIKA, meaning it's 35. Nini ngumu hapo ya kushindwa kuelewa wewe mwarabu? Au ni ubishi ndio unapenda
 
Nishakueleza mimi namquote architect mwenyewe aliyedesign na kusupervise ujenzi wa jengo hili. Tazama video dakika ya 7:01😀😀😀

6.55 na quote “the highest building in dar es salaam that is tanzania port authority, just about that meter from sea level are the five floors” 7.06 wapi neno 35 floors ametamka leo utanieleza vzr😀😀
 
Nimesema hata 36 HAIWEZI FIKA, meaning it's 35. Nini ngumu hapo ya kushindwa kuelewa wewe mwarabu? Au ni ubishi ndio unapenda
uhahahha ushabadilisha tayarii😀😀😀😀 asante leo pamoto naona
 
Basi ni wazi kuwa huelewi kiingereza maana kila anayesikiza hiyo video anaskia architect akisema jengo ni 35 floors dakika ya 7:01. Labda urudi shule ama usikize video kwa makini zaidi. 7:01.😀😀😀

Tangu lini mtanzania akaelewa kizungu? Hapo ni kama kupigia mbuzi guitar, especially huyu ichoboy. Mtabidhana mwishowe ataanza matusi
 
Back
Top Bottom