Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

chenye najua Mombasa watu utumia Über. na kuna mtu anasema hajui Tuktuk ni nini. kwani tofauti ya Tuktuk na Bajaji ni nini?
 
Sijawah ona taxi as car in mombasa labda uende airport , town taxi ni tuktuk hahahahaha unakataa sasa 😀😀😀😀😀😀😀😱😀
Uber haiko Nairobi pekee iko Mombasa thika na kisumu....uko kwenu iko cities ngapi
d9062fd402cff28208f14bb0516ebc26.jpg
 
Sijawah ona taxi as car in mombasa labda uende airport , town taxi ni tuktuk hahahahaha unakataa sasa 😀😀😀😀😀😀😀😱😀
Tuktuk mombasa hutumiwa katikati ya Estates. Hazikubaliwi kusimama kwa main roads za town
 
Unaataka kuona taxi za dar hizo hahahhahahhah
😀😀😀😀😀😀😀 hakuna sehemu mutatoka kwa dar
teksi1 (1).jpg
 
tumezoea izi picha sasa....sijui zimeandikwa azam,,,naeza zisema colours zake sasa.tafuta zingine
Ziko kibao kwanzia Kilimanjaro 1 mpaka 6 na kuna seabus express kibao zimezagaaa bongo hahahhaa alaf hizo za washua sasa
download (12).jpg
 
Hahhahaha siniliwaambia toka mwanzo ingizeni mombasa na kisumu wakawa wanakataa sasa wameingiza wenyewe hahahhahahha
😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom