Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,601
- 15,704
Cha ajabu ni kwamba mafuriko yalipotokea Nairobi mwezi mmoja uliopita na kufunga barabara mliteremsha picha humu ndani kana kwamba Nairobi imeporomoka na watu wote waioshio ndani kufa.. Hii leo mafuriko yanafanyika Dar na kuziba uwanja wenu mkubwa wa ndege (mabat rolling mills) pamoja na mabasi ta brt na kuyaita mambo ya kawaida sana. Hayo mambo ya kawaida sana yangefanyika Nairobi mngesimama juu ya mlima kilimanjaro na kutangazia dunia nzimasasa nn unachoshangaa cha ajabu hebu sema kipi cha ajabu hapo 😀😀😀😀 sehemu zinapopaki hzo basi tena sehem yenyewe ni pembeni kabisa ya mto mkubwa sana dar nzima