ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
that was terminal 2 and not terminal 3 hapo tuelewane usine ukafkiri ile ni terminal 3...😀😀😀Niletee picha ya Nairobi inayoonyesha cloods kwa flyover. Pili, I thought JNIA is "the biggest and modern airport in east africa". Vipi haikutengenezwa kwa viwamgo zinazoweza ku withstand vitu kama flooding? Tatu, unaposema "hakuna sehemu ya uwanja wa ndege umezibwa" unajaribu kusema kwamba this airport which is "the biggest and most modern" in this region haina parking area? Kuhusu mabasi ya brt, ukweli ni kwamba yalisombwa na maji so yanapolala bi kisingizio. mbona waliweka hiyo eneo karibu na mto? Ndo maana siku zote tunawaambia Dar haina mpangilio hata kidogo
hakuna basi limesombwa na maji hata moja maji yaliingia sehemu zinapo park zile bus kwasababu iko karibu na mto msimbazi au ndio mto mkubwa sana dar nzima, wlijenga makazi ya muda kipindi cha construction of BRT infastructures