Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha kelele kijana mdogo.
Nimekuambia udhibitishe hio picha ya kwanza ni Nairobi. Hapana, sijaona maziwa ila nimeona tu mchuzi rojo rojo wa albino
mm nishamaliza akili kichwani mwako😀😀😀
 
kwa hivyo licha ya kwamba JNIA is the "Biggest and most modern airport" this part of the world sehemu ya kuegeshea magari sio jambo la muhimu kwake? Yani saa hii nikienda huku JNIA na gari langu huenda nikakosa sehemu ya kupark???
Kweli ukistaajabu ya Musa.... Also, it's interesting to note that haya maji yalichagua tu parking area ya magari na kuwacha runways!! hehehe...kweli siku ta nyani kufa kila mti huteleza. Halafu milango ya kuingia airport yanahusika vipi na kufurika kwa uwanja wenu wa ndege?
Tulia bakora ikuingie, kwasasa hivi bado JKIA inaongoza hadi 2019 tutakapofungua terminal 3 JNIA na kwa hiari yenu mtakapotukabidhi uongozi wa uwanja mkunwa na wakisasa zaidi katika kanda hii, kwasasa bado endeleeni kuongoza kwa mara ya mwisho.
 
Tulia bakora ikuingie, kwasasa hivi bado JKIA inaongoza hadi 2019 tutakapofungua terminal 3 JNIA na kwa hiari yenu mtakapotukabidhi uongozi wa uwanja mkunwa na wakisasa zaidi katika kanda hii, kwasasa bado endeleeni kuongoza kwa mara ya mwisho.
heheh anafkiri terminal 3 mchezo zimelala zaidi ya 270m usd wanafkiri masikhara😀😀😀😀
 
mm nishamaliza akili kichwani mwako😀😀😀
Kama hauna dhibitisho acha kulazimisha mambo, utaonekana mjinga wa mwisho. Mbona hiyo picha ya pili nimekubali ni Nairobi na nilipokuuliza ni wapi maji yamefika kwenye flyover jinsi ulivyosema ukanyamaza? Kubali yaishe
 
Kama hauna dhibitisho acha kulazimisha mambo, utaonekana mjinga wa mwisho. Mbona hiyo picha ya pili nimekubali ni Nairobi na nilipokuuliza ni wapi maji yamefika kwenye flyover jinsi ulivyosema ukanyamaza? Kubali yaishe
5811D7C7-4270-417E-8083-DAA1A6EEC8A8.jpeg
 
after completion of terminal 3 ndio itakua the ultra modern terminal building in east and central africa ambayo kwa sasa iko over 70% of construction

gates ziko over 15 na kila gate ina njia ya kuingia inside the airport so usije ukadhani car parking area maji yakijaa basi hakuna operations never ever...

kwa ushauri kuelewa ni hiari yako na sio lazima
Ushasema kwamba car parking area is not a major factor kwa huu uwanja wenu ambao ndio "the most modern and the biggest" ukanda huu. Mvoba unapiga kelele? Huko tushatoka
 
Ushasema kwamba car parking area is not a major factor kwa huu uwanja wenu ambao ndio "the most modern and the biggest" ukanda huu. Mvoba unapiga kelele? Huko tushatoka
the ultra modern is terminal 3 and not terminal 2 my friend hio terminal 2 hapo ilipo imezidiwa vibaya sana ndio maana wanaharakisha termial 3 kukamilika kwa muda uliopangwa, so wewe tatizo lako liko wapi???
 
the ultra modern is terminal 3 and not terminal 2 my friend hio terminal 2 hapo ilipo imezidiwa vibaya sana ndio maana wanaharakisha termial 3 kukamilika kwa muda uliopangwa, so wewe tatizo lako liko wapi???
Wewe mtoto rudi shule ukasome. Ile warehouse ndio unaita ultra modern?
 
He thinks that using superlative terms like "Ultra modern" will elevate a warehouse into a respectable airport. Hahaha
Just like a hyena that thinks if he follows you long enough your hand will drop and he'll eat it. Stupid boy.
 
Just like a hyena that thinks if he follows you long enough your hand will drop and he'll eat it. Stupid boy.
It's desperation of the highest level. They think that by comparing themselves to us, they'll get a step closer to catching up with anything Kenyan.
 
It's desperation of the highest level. They think that by comparing themselves to us, they'll get a step closer to catching up with anything Kenyan.
Si wafike 3M passengers kwanza. Niwaambia ligi ya JNIA ni Moi Airport.
 
Si wafike 3M passengers kwanza. Niwaambia ligi ya JNIA ni Moi Airport.
What's JNIA's capacity by the way? I lost interest the day I realized it's still competing with Moi aitport in terms of passenger arrivals
 
Back
Top Bottom