Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umekubari Awe Shemeji yako kweli!
Maana Kwa chuki zako na Wakenya
sidhani kama unaweza kubari dadako Aende kwa mkenya
Wakenya wengi wako tu sawa....wachagaa na wapare wa kwenu wameolewa kenya sanaaaa.
 
Pamoja na hayo still ameingiwa na kiwewe.
kabisa maana kwa ushamba wake anapaita manzese kwa sasa hivi hapaiti tena manzese.......hajui kama ikichukuliwa aerial view ya hilo eneo linachukua karibia sehemu ya makazi yao yote yale ya viestate wanavyovionyesha miaka nenda rudi
 
19051104_766245910208593_4820400478162518016_n.jpg
 
Mwalimu wako alikua na kazi ngumu sana ya kutoa ujinga.....wacha nikuache tt lakini watu wameiona kijitonyama cbd
sasa wewe ndo bogus umeomba uletewe aerial view ya k/nyama,umepewa!!na we leta hiyo cbd yako tuione..wote humu tuna akili timamu tuta-compare!!hatutaki mboyoyo mingi budaa!!
 
Hapa hakuna kesi sasa kila kitu tumefunga upande wa kijitonyama sasa leta aerial view ya upanga
Ushaambiwa kabla.. sasa nenda kacheki the past threads za view ya kijitonyama at its present
 
wakenya nyie na hako kamji kenu ka nairobi bado sana hamuiwezi dar hata kidogo......

pembezoni mwa mji
 
Back
Top Bottom