Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na bado😀😀😀
nyahururu-1.jpg
http://observer.ug/news/headlines/57532-port-bell-to-kampala-rail-line-due-to-re-open.htmlna bado kweli si uongo
 
kama sio nairobi umepost ili iweje 😀😀😀😀 au unawashwa wataka kukunwa
Huyu Mwasiti ana landalanda Kenya nzima kutuletea picha😀😀 Dar inamnyima usingizi. Mwambie atuonyeshe BRT Only😀😀😀
 
whoever said kibera is the largest slum should have his head checked!
sasa hizo nazo slums??we unazijua slums wewe??hizo ni nyumba za kawaida ila mabati kweli yana kutu lakini kuna nyumba Kali tu huwezi kufananisha na mabanda ya kibera...
 
April 24, 2018
Mafuriko ya makubwa jijini Nairobi, Kenya
Magari yalisomba na maji ya mafuriko katika eneo la Ruai huku mamia ya watu wakiathirika pakubwa katika mitaa ya jiji la Nairobi kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha. Mamia ya watu wameacha bila makao huku maporomoko ya ardhi yakitatiza usafiri katika barabara za kaunti ya Murang’a.

Source: Kenya CitizenTV

na mvua hii kibera hakukaliki..
 
sasa hizo nazo slums??we unazijua slums wewe??hizo ni nyumba za kawaida ila mabati kweli yana kutu lakini kuna nyumba Kali tu huwezi kufananisha na mabanda ya kibera...
Hawajui kati ya slum na unplanned settlement😀😀😀
 
Back
Top Bottom