mombasa254
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 1,026
- 215
Mie hata sijawai isikia..Hili Jengo linasifa yakipekee EA hakuna
ndio jengo linalo toa Huduma za utalii Refu kuliko yote East Africa
Mie hata sijawai isikia..Hili Jengo linasifa yakipekee EA hakuna
ndio jengo linalo toa Huduma za utalii Refu kuliko yote East Africa
View attachment 747721View attachment 747722View attachment 747725View attachment 747726

alaf atakwambia watanzania hawana pesa😀😀moja kati ya habari kubwa zinazo trend kwenye blogs za kenya ni kuhusu mwanamuziki maarufu wa tz ali kiba kufunga ndoa na binti wa kikenya toka county ya mombasa.
inasemekana kwamba familia anayotoka binti huyo ni ya kipato cha chini. hata makazi ya nyumba yao si ya kuvutia sana,jambo lililomfanya ali kiba kuingia gharama ya kuihamisha familia hiyo toka katika makazi yao duni ya awali na kuipangishia familia hiyo katika nyumba yenye hadhi nzuri.
hongera sana ali kiba kwa moyo huo wa upendo uliouonyesha kwa wakwe zako wa kenya.
hii inatoa picha kwamba wakenya wengi ni maskini ila walichotuzidi ni sifa tu za kijinga. povu ruksa.![]()
![]()
![]()
View attachment 747648View attachment 747649View attachment 747650
Hili tangu 2013 liko hivyohivyoNajua hesabu ni ngumu kwako ila jikakamue tu😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀View attachment 745211 hilo ghorofa 25 ,sasa nataka unitag ghorofa 20 nje ya dar, ***** leo nazaa na wewe😀😀😛😛😀😀😀😀😀😀
akikuletea nitag bro.Hili tangu 2013 liko hivyohivyo
Leta jengo.lingine
Si umesema yapo zaidi ya moja
Sileti lingine kabla uniletee jengo moja tu la 20flrs nje ya dar😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Ukipata unitag😀😀😀😀😀😀😀😀😀Hili tangu 2013 liko hivyohivyo
Leta jengo.lingine
Si umesema yapo zaidi ya moja
moja kati ya habari kubwa zinazo trend kwenye blogs za kenya ni kuhusu mwanamuziki maarufu wa tz ali kiba kufunga ndoa na binti wa kikenya toka county ya mombasa.
inasemekana kwamba familia anayotoka binti huyo ni ya kipato cha chini. hata makazi ya nyumba yao si ya kuvutia sana,jambo lililomfanya ali kiba kuingia gharama ya kuihamisha familia hiyo toka katika makazi yao duni ya awali na kuipangishia familia hiyo katika nyumba yenye hadhi nzuri.
hongera sana ali kiba kwa moyo huo wa upendo uliouonyesha kwa wakwe zako wa kenya.
hii inatoa picha kwamba wakenya wengi ni maskini ila walichotuzidi ni sifa tu za kijinga. povu ruksa.![]()
![]()
![]()
View attachment 747648View attachment 747649View attachment 747650
hapa hawawezi kuja na wakija lazima watakuja na povu!!andaa wiper mkuu..hii habari nayo ina trend sana huko kenya... but you wont see kenyans sharing it here.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 747721View attachment 747722View attachment 747725View attachment 747726
NB:
hivi kwanini mashoga wengi nchini kenya ni wakikuyu?. kama huna jibu basi ruksa kutoa povu.![]()
![]()
![]()
Si wauze lile bus lao la coaster!! Au halita tosha au tayari liko juu ya mawe!!
Kwahiyo kuolewa na kiba ndio kigezo cha urembo smh!Si huwa mnasema Kenya hakuna warembo. Hivi Ali Kiba na huu uceleb wake katembea Tz nzima hakupata mrembo hadi akaja Kenya?
ni chakavu sana body ya kuchonga kwa kifupi pale hakuna gari team kubwa kama ile kenya haina hata ofisi😀😀😀😀😀😀Si wauze lile bus lao la coaster!! Au halita tosha au tayari liko juu ya mawe!!
alaf alikiba alivo na huruma kawajengea kwao nyumba nzuri kabisa ili wajikimu kimaisha 😀😀😀😀😀Kwahiyo kuolewa na kiba ndio kigezo cha urembo smh!