moja kati ya habari kubwa zinazo trend kwenye blogs za kenya ni kuhusu mwanamuziki maarufu wa tz ali kiba kufunga ndoa na binti wa kikenya toka county ya mombasa.
inasemekana kwamba familia anayotoka binti huyo ni ya kipato cha chini. hata makazi ya nyumba yao si ya kuvutia sana,jambo lililomfanya ali kiba kuingia gharama ya kuihamisha familia hiyo toka katika makazi yao duni ya awali na kuipangishia familia hiyo katika nyumba yenye hadhi nzuri.
hongera sana ali kiba kwa moyo huo wa upendo uliouonyesha kwa wakwe zako wa kenya.
hii inatoa picha kwamba wakenya wengi ni maskini ila walichotuzidi ni sifa tu za kijinga. povu ruksa.
View attachment 747648View attachment 747649View attachment 747650