Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

F5305817-7856-4268-9ECC-7B97DCC5C2C5.jpeg
 
Narudia hii ni phase one na i picha iko skyscrapercity kutoka 2016 nyumba zenyewe hazikupita mia mchina akaumia kwasababu hamkununua yaaani hamna hela nyi maskini wa kutupwa😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😱😱😱😱😀😛😀Ukipata phase 2 unitag, nastaki phase 1niliona kutoka 2016 *****😀😀😀😀😀😀😀
Nakupatia picha ya phase 1and 2 majengo yakiwa pamoja. Kwa taarifa yako wanapanga kuanza ujenzi wa skyscrapers Dar es salaam na Dodoma
avic_city_kigamboni_02.jpg
DJI_0026.jpg
 
Tangu ulivyo jua kiswahili vipi ulikunya diamond.au tangy mujue kiswahili vipi kina mama walipunguza kubeba samaki cbd

Sent from my itel it1408 using JamiiForums mobile app
Ww ndiyo nikuulize umefaidika nini tangu ujue kingereza . Maana unakiona kingereza kama Lugha ya Malaika kila siku unabeza Watiz Oooh hawajui kingereza nikakuuliza wewe tangu ulivyojua kingereza umekunya dhahabu hujajibu swali unauliza swali kweli wewe kilaza.Au ume share choo kimoja na Trump
 
Ww ndiyo nikuulize umefaidika nini tangu ujue kingereza . Maana unakiona kingereza kama Lugha ya Malaika kila siku unabeza Watiz Oooh hawajui kingereza nikakuuliza wewe tangu ulivyojua kingereza umekunya dhahabu hujajibu swali unauliza swali kweli wewe kilaza.Au ume share choo kimoja na Trump
Nani amesema niya malaika..na wewe.kiswahili kimekusaidia aje....tangu ujue
 
Back
Top Bottom