Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hi render iligawanywa katika phase ngapi ?? Compare with the latest pictures then uludiView attachment 745271
Hi ndio iyo phase one ata umefanya vizuri kuleta render, izo nyumba zote mchina alijenga kwa mpigo yaani zote 2016 na nyumba hazijapita mia, sasa juu plan ilikua nyumba 5000 phase one inafaa kua na angalau nyumba 1500 ndio waingie phase 2 ,sasa nyumba ambazo zimejengwa mbona hazipitii mia na plan ni nyumba 5000😀😀😀😀😀😀😱😀😀
 
hauelewi.....kitu chochote kinachoendelea.......ngoja tukuache na uelewa wako.....

we si ndiye uliyefanya construction...
Umeshindwa kuleta ushahidi wa phase 2,mchina aliona hana hela aka revise plan yake kutoka nyumba 5000 hadi chini ya mia ***** nyinyi maskini wa kutupwa hamna hela kununua nyumba zenye hadhi😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😱😱
 
E1ED971C-F0AC-413A-9579-F2FA3E6570B9.jpeg
 
Project za 50 metres, lakini ya 300 metres and 70 floors hamupati in the next 100 years.

dogo duniani kuna majengo mpaka ya 800+m,tutolee uchafu wa kuchimba chini hapa.

halafu mlivyo ma pang'ang'a hiyo itakuwa pekee ndefu maana ukanda huo kuna dwarf tupu.
 
Tpa
Pspf
Mzizima
Ppf
Mnf
Mayb are enough for now cause they ar all 30+flr n over 130M to be precise...we've to deal with other important infrastructure like highways BRT flyovers interchanges and power plant...g evening
Hiki ndio cha msingi m,miundombinu ya dar bado changamoto
 
Tpa
Pspf
Mzizima
Ppf
Mnf
Mayb are enough for now cause they ar all 30+flr n over 130M to be precise...we've to deal with other important infrastructure like highways BRT flyovers interchanges and power plant...g evening
kabisa
 
Back
Top Bottom