Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
picha zaidi za kigoma aiport😀😀😀maskini hawa walimkosea Mola nini jameni?
maghost town pengine kwenu LDC😀😀😀humu tunapaa tu😀😀😀 8 million arrivals 2017Mkikuyu akili timamu katoka kutuambia Maghost Town kama yale ya Inner Mongolia kule China utatuambia nini wewe D😀 😀 😀 Kubali ni Maghost town hakuna Ubaya
Hata passengers wa dunia nzima wakipitia Kenya, truth raims that, JNIA next year will be the biggest and ulra modern airport in EA., followed by JKNI, msitage kugeuza mada ya ukubwa wa airport na number of passengers.hivi unajua aiport za Kenya zinahandle passengers kiasi gani wewe? kisha nikikuuliza aiport za kilimanjaro na Dar zilizo modrn angalau kidogo zinawasaidia kivipi bas saabbu watalii wenu wote wanabebwa na ndege za ng'ambo😀😀😀
wala simjui kamwe..pengine unsaidie😀😀😀lakini kama ni yule mwarabu huyo namjua tangu 2016 dec...namfaham vzr sana😀😀😀ni kama ndugu yule😀😀😀Unajifanya hujui smh!
Our Superior railway with European standards is under construction better than Kenyans Railway with Guanzhou standardebu leta tz railway bas tuone yenu ilio bora😀😀😀😀
Mnapaa na nini Ungo au hizo crooked and cooked data za 8 million passengersmaghost town pengine kwenu LDC😀😀😀humu tunapaa tu😀😀😀 8 million arrivals 2017
hahahaha sasa hio ya Guanzhou standard imeshawasafirisha abiria millioni 2 sasa hivi mwendo kasi pamoja na watalii....hio yenu european standard imefanya nini?Our Superior railway with European standards is under construction better than Kenyans Railway with Guanzhou standard
Naona tumeshachengana lugha hapa ,hujanielewa ukadhani "kisa" ni jina la MTU loh!wala simjui kamwe..pengine unsaidie😀😀😀lakini kama ni huyo mwarabu huyo nawezana naye...namfaham vzr sana😀😀😀ni kama ndugu yule😀😀😀
oooh lugha sometimes huwa inanipiga chenga...kumbe unamzungumzia akili timamu? huyo wachana naye, ni maskini flani anayetoka maeneo ya magharibi karibu na ziwa ana machungu sana na serikali😀😀😀Naona tumeshachengana lugha hapa ,hujanielewa ukadhani "kisa" ni jina la MTU loh!
Mnamkimbia mkikuyu akili timamu "kisa" anawapa makavu live? Nahisi hapo umenielewa
Kwani hiyo Guanzhou standard railway ilipokua underconstruction ilifanya nini??hahahaha sasa hio ya Guanzhou standard imeshawasafirisha abiria millioni 2 sasa hivi mwendo kasi pamoja na watalii....hio yenu european standard imefanya nini?
mbona unajibu swali na swali? nimekuuliza hio yenu ya european standard imewasaidia kivipi😀😀😀😀😀heri yetu ya guanzhou standard ambayo inachapa kazi...wahenga wanasema better half of something than all of nothing sijui kama unanipataKwani hiyo Guanzhou standard railway ilipokua underconstruction ilifanya nini??
poa broWenyewe wanamkimbia mwenzao mkikuyu hata hawataki Ku m quote
Just take my advice",kukaa kimya nalo ni jibu "
4b usd bro from nai to msa wanaenda letewa train ya 100 yrs back 😀😀😀😀 alaf wako happyHapa imeniuma kama vile ni nchi yangu.Si wanajisifu hawa wako juu Yetu imekuaje wamaepigwa D😀 😀 😀 Poleni sana
huyo jamaa anaingea point vzr kabisa 😀😀😀Kisa anawapa makavu live !
Wakenya wote mnafyata mkia ,hadi kina Colo mz na mwaswast pamoja na lugha zao chafu wananyoroshwa
Ukijubu swali langu hapohapo utapata jibu lako D😀 😀 😀mbona unajibu swali na swali? nimekuuliza hio yenu ya european standard imewasaidia kivipi😀😀😀😀😀
train and rail from beijing museum😀😀😀Our Superior railway with European standards is under construction better than Kenyans Railway with Guanzhou standard
akikuletea official link ya 8m nitag😀😀😀Mnapaa na nini Ungo au hizo crooked and cooked data za 8 million passengers
pole lakini umeumia sana...hapa hakuna huruma lazima tuwaweke mahala penu...LDC wenzenu kina somalia na zambia ndio ligi yenu...map hi itakusaidia kuwafaham😀😀Ukijubu swali langu hapohapo utapata jibu lako D😀 😀 😀