Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hahahaha wako wapi hao passengers...nimekwambia 2 mil tu sio kitu ya kujigamba...hata kibanda ya mama mboga tu inapata watu zaidi ya hao kwa mwaka😀😀😀😀😀
As a Jubilee propagandist, you are a shame and a waste of taxpayer money. You are neither sharp nor do you even know how to lie with intelligence.
 
wacha hata treni station bro...airport nimekwambia hata ya isiolo ni bora kuliko vibanda vyenu...ila sitaki niwaaibishe leo weekend😀😀😀
isiolo haina direct passenger flight alaf unaita international how???😀😀😀😀 isiolo ni ushuzi tu
 
isiolo haina direct passenger flight alaf unaita international how???😀😀😀😀 isiolo ni ushuzi tu
ila ni bora kuliko kigoma, mwanza, etc😀😀😀😀yaani kibanda cha mabati mtu anaita aiport duh!!
 
subiri imalizike kabisa ndio utajua vzr 😀😀😀
😀😀😀😀hakuna mambo ya kusubiri...terminal kama hii tayari ipo nchini Nairobi...infact bora kuliko hii...ndio maana tukapewa direct flights na IATA😀😀😀😀sorry bro😀😀😀naona mishipa kichwani😀😀
 
As a Jubilee propagandist, you are a shame and a waste of taxpayer money. You are neither sharp nor do you even know how to lie with intelligence.
perfect ye anaona 4b usd ilitumika sawa😀😀
unachukua mkopo wa 4b usd unaenda letewa such train and people are happy😀😀 hvi wakenya nani aliwaroga aisee dunia inaenda mbele leo 2018 wakenya wanarudi nyuma tena 80yrs back
D4C5D08A-D93B-4D46-9389-540164D3A913.jpeg
 
😀😀😀😀hakuna mambo ya kusubiri...terminal kama hii tayari ipo nchini Nairobi...infact bora kuliko hii...ndio maana tukapewa direct flights na IATA😀😀😀😀sorry bro😀😀😀naona mishipa kichwani😀😀
ipo wapi subiri ikiisha ndio utajua ipo au haipo mm nakwambia siku inafunguliwa hio mutaficha sura zenu humu 😀😀😀😀
 
ipo wapi subiri ikiisha ndio utajua ipo au haipo mm nakwambia siku inafunguliwa hio mutaficha sura zenu humu 😀😀😀😀
ndoto za abunwasi tulishachoka nazo bro😀😀😀😀leta terminal sasa hivi😀😀😀ikwapi? wakwapi 7 million passngers?😀😀😀
 
ila ni bora kuliko kigoma, mwanza, etc😀😀😀😀yaani kibanda cha mabati mtu anaita aiport duh!!
sio bora kuliko kilimanjaro international airport
sio bora kuliko abeid aman karumene international
sio bora kuliko songwe international
 
sio bora kuliko kilimanjaro international airport
sio bora kuliko abeid aman karumene international
sio bora kuliko songwe international
oooh kwa hiyo mwanza kigoma hapahitaji aiport ama?😀😀😀mkaona mwajengee vibanda vya kufugia nguruwe?😀😀😀maskini tuusan naskia anaishi kule
 
ndoto za abunwasi tulishachoka nazo bro😀😀😀😀leta terminal sasa hivi😀😀😀ikwapi? wakwapi 7 million passngers?😀😀😀
wakwapi subiri ndege mwezi wa saba zitue 3 kwa mpigo ndio utajua wakwapi 😀😀😀😀
angalia record za etihad,oman air, emirates, ethiopia au fly dubai wanaongeza safari kwa wiki kila mara go check😀😀😀😀
 
oooh kwa hiyo mwanza kigoma hapahitaji aiport ama?😀😀😀mkaona mwajengee vibanda vya kufugia nguruwe?😀😀😀maskini tuusan naskia anaishi kule
mwanza iko undercontsruction dodoma iko underconstruction
 
wakwapi subiri ndege mwezi wa saba zitue 3 kwa mpigo ndio utajua wakwapi 😀😀😀😀
angalia record za etihad,oman air, emirates, ethiopia au fly dubai wanaongeza safari kwa wiki kila mara go check😀😀😀😀
ndoto bro😀😀😀mmetuambia subiri miaka nenda miaka rudi tumechoka...nataka kuwaona hao passenger kwa macho bro😀😀😀not excuses
 
naona leo hasira zikipanda unahamia kwenye stations 😀😀😀😀😀
😀😀😀😀huwa unawadanganya wengine ila mimi nakujua bro😀😀😀ukileta picha za terminal najua jinsi ya kukukamata kwenye makei
 
Back
Top Bottom