Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha... Anataka kulazimisha kupita njia ya mkato japo ina miba mingi na vilipuzi vya alshabab vilivo chimbiwa chini.
Ndio zao hawa kwani siwajui ashaambiwa urban city lakin akili yake haikubali hawa ndio walivo kwan siwajui hawa
 
Dadadadadadadaaaaaaaaaaa
Syo fair jameniiii
Watu wengine wanaishi vzuri apo Nairobi huku wengine wanaishi hivyo asee dhambi sanaa
Dar hakuna sehemu ya ivo, no.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuona jambo la kawaida

Mimi huwa nawaambia hawa
kuna watu wanaishi KUZIMU nairobi na si Duniani!!
.Mateso kama hayo
mijitu imejimilikisha Ardh na mali ya nchi
full ufisadi!!

Linakuja lijinga limoja oh
Nairobi ina milionea wengi !!
hao milionea wanamsaidia nini Mama yako?
 
Siku zote hua nawaambia uchumi wa Kenya 75% umeshikwa na wageni na ukitaka kujua angalia makambuni yote ya Kenya mpka mashirika ya kiserekali eg kenya aiways inamilikiwa na watu wa nje wageni kwa asilimia 79% wamiliki ni watu wanjee yani wageni ....
 
Siku zote hua nawaambia uchumi wa Kenya 75% umeshikwa na wageni na ukitaka kujua angalia makambuni yote ya Kenya mpka mashirika ya kiserekali eg kenya aiways inamilikiwa na watu wa nje wageni kwa asilimia 79% wamiliki ni watu wanjee yani wageni ....

Ajabu anakuja mmoja anajiona wajuu full misifa!!
Wazazi wake wanaishi ki mbwa nguruwe miaka 50+!!
Zunguka dar kwi kuna watu hali tete lakini si kwa makazi hayo ya Nairobi.
Nairobi kupata hata kijisehemu cha kuweka choo ni mtihani
lazima ukalipoti ukoo wa kenyatta!!
Ardh yoote wakenya hawana chao
wapo kama Wapangaji ndani ya nchi yao!!
 
jana nilimwambia Zuwenna Usitishike na jina Kenya
kuna watu kenya wapo wapo hawajui jana waliivukaje
wala kesho itavukwaje!!
Watu zaidi ya 200 kuchangia choo kimoja!!
 
Ajabu anakuja mmoja anajiona wajuu full misifa!!
Wazazi wake wanaishi ki mbwa nguruwe miaka 50+!!
Zunguka dar kwi kuna watu hali tete lakini si kwa makazi hayo ya Nairobi.
Nairobi kupata hata kijisehemu cha kuweka choo ni mtihani
lazima ukalipoti ukoo wa kenyatta!!
Ardh yoote wakenya hawana chao
wapo kama Wapangaji ndani ya nchi yao!!
Achana nao hawa bado wanaakili za neo colonialism......... We imagine tanzania mashirika yote ya serekali yanamilikiwa na serekali kwa 100% na makampuni aslimia 80 yanamilikiwa na watanzania wenyewe alaf unataka kushindana na bongo ya 2017 hehehhhehe
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuona jambo la kawaida

Mimi huwa nawaambia hawa
kuna watu wanaishi KUZIMU nairobi na si Duniani!!
.Mateso kama hayo
mijitu imejimilikisha Ardh na mali ya nchi
full ufisadi!!

Linakuja lijinga limoja oh
Nairobi ina milionea wengi !!
hao milionea wanamsaidia nini Mama yako?
Mamilionea ni wageni sio wenyeji sasa ndio tatizo linapokuja hapo wanakuja kuchuma na kuondoka watu wanabaki masikini wakutupa
 
Sio ya kwanza inayojengwa sasa niya tatu na zote za kikubwa hahahaha tens ubungo interchange itakua ya kipekee east and central Africa aaahahahah
Don't be happy about that... There's a flyover in my upcountry home..so....
Tatu tu..hahhaha
What makes it different from other interchanges; Does it drive your car for you when you reach there?
 
Wakenya mtuletee video za dar
zikionyesha Mabanda na maisha kama hayo
labda mimi sijaitembea vizuri dar
maana nimeishi dar miaka 17 sasa
sijawai kuona vijumba vyakufugia Nguruwe akiishi mwanadamu no no no
Hayo ni mabanda ya kenya nairobi sehemu inaitwa isilii section 3 mi nimenimekaa sana. Eneo hilo
 
Vitu vinapelekwa mbiombio hahaha

c5717c54e0e381cd52125b9fd5c3ee07.jpg
 
I
Wakenya mtuletee video za dar
zikionyesha Mabanda na maisha kama hayo
labda mimi sijaitembea vizuri dar
maana nimeishi dar miaka 17 sasa
sijawai kuona vijumba vyakufugia Nguruwe akiishi mwanadamu no no no

Your people lack the resources and know how on how to shoot such videos...no wonder they don't exist
 
I


Your people lack the resources and know how on how to shoot such videos...no wonder they don't exist
Kwikwikwikwi. Yaani nakushangaa sana wewe dogo. Digital TV kubwa EA and Central Africa unajua kuwa inapatikana Tanzania. Inaitwa AZAM TV. Sasa hivi Decoder zinauzwa huko kwenu.
AzamTV
upload_2017-4-2_19-8-52.png
 
IMG_20170402_190822_599.jpg
Siku zote hua nawaambia uchumi wa Kenya 75% umeshikwa na wageni na ukitaka kujua angalia makambuni yote ya Kenya mpka mashirika ya kiserekali eg kenya aiways inamilikiwa na watu wa nje wageni kwa asilimia 79% wamiliki ni watu wanjee yani wageni ....
Know your place
Air Tz
IMG_20170402_190901_221.jpg
IMG_20170402_190835_024.jpg
IMG_20170402_190850_996.jpg

It seems your pilots are doing a great job..hahhha waongezewe mshahara

Kenya Airways,The Pride of Africa
IMG_20170402_190811_483.jpg
 

Attachments

  • IMG_20170402_190822_599.jpg
    IMG_20170402_190822_599.jpg
    9.7 KB · Views: 30
Kwikwikwikwi ukivimba upasuke. Yaani wewe huiwezi Dar es salaam. Vijana wa Mathare mpo. Kwikwikwikwi.
Zina kuja Id mpya hahaha
jamaa lilelile
kaona Aibu kuifuta ni kuja na Id mpya
dawa ni kuwachapa na video
 
Back
Top Bottom