El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Aga khan mombasa
Umewahi fika?Chicagooooooo.....
unaona sasa unavolia 😀😀😀bugando iko juu kabisa ya mlima na ime cover over 80% ya mlima wote kwa juuhii bugando ni konde kama kichochoro ya tandale....Lol.face ndio imewekwa kuhadaa watu ati hospitali ni pana.....huhuhu.Hii hata haifikii Jaramogi hospital ya kisumu
yeah around 2003 tulipoenda Gary,Indiana kama sijasahauUmewahi fika?
Vipi kuhusu bus stops.. maana ma3 zina drop wasee any howOutering is still under construction my brother. Hiyo barabara hata ninapoandika hii kuna sehemu bado zinachimbwa na hata taa za barabara hazijawekwa the whole stretch kutoka allsops hadi taj mall. hiyo outering mnaongelea hapa hakuna barabara Dar inafikia. Hamfai kuongelea barabara coz mnajua hamba usemi juu ya Nairobi when it comes to roads and raod networks.Ngoja outtering imalizwe sijui mtaongea nini
aga khan dar
View attachment 733498
ndio maana nakwambia unatoa picha google zinadanganya huelew😀😀😀😀😀ni Google walimix up...........lakini hiyo bugando yenu si kubwa ni refu tu
daaaah...mnatia haibu
hawana hawa cha maana ni kelele tuTunaongelea government hospital unaleta private hapa leta big government hospital outside Nairobi sio huu uchafu unaotuletea hapa
yahhh....hivyo ndivyo dar itakuja kuwa.....city yenu ya nairobi ni local sana .....mpaka mkija fika huko ni miaka trillion 99999999 angali dar itachukua miaka 40 tuChicagooooooo.....
Aga khan mombasa
View attachment 733479
No doubt bugando is the sec biggest hosp in Tz with more than 900beds capacity. ..comes sec after muhimbili national hospital with bed capacity now 1900+ mloganzila ....9 floors up my friend plus 2 undergrounds
View attachment 733462
View attachment 733465 View attachment 733466 View attachment 733467 View attachment 733468 View attachment 733469