Madrid boy
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 895
- 615
White elephant brozikwapi pinnacle na montave??😀😀😀

White elephant brozikwapi pinnacle na montave??😀😀😀

hebu imagine hii ni part ya ilala dar es salaama sehemu hujawah hata kuisikia humu ndani😀😀😀😀
akikuonesha tu nitag😀😀😀

Hapa kazi tu. Tukisema tunatekeleza
Check out @BonnahKaluwa’s Tweet:
wanairuka ila ujumbe umewaingia ndani ndani kabisa.nawaona wanavyoiruka hii postkama hawajaiona vile... dah
![]()

So mtapanda from 1350 megawatts to 1600 megawatts by 2025? Hahahaha always behind Kenya.huyu jamaa sio mchezo anazindua kinyerezi 2 na kinyerezi 3 ujenzi ushaanza😀😀😀😀
1750+ 240 jibu utalipata 😀😀😀So mtapanda from 1350 megawatts to 1600 megawatts by 2025? Hahahaha always behind Kenya.
Bado kuwasili kwani inakuja na gear ya reverse?
uhahaha umia basi taratibu bro😀😀😀Bado kuwasili kwani inakuja na gear ya reverse?
Hizi laana
Wewe usijidanganye umeme tunaozalisha sisi hizo megawatts hamjawahi kuuzifikia na hamtakaa zifikia hata iwejeSo mtapanda from 1350 megawatts to 1600 megawatts by 2025? Hahahaha always behind Kenya.
know the difference between a passenger ferry and a private yatch
Nime itaja outering kwa sababu ajali ni nyingi sana.. kama wangeweka bus stages ata kama security facilities hazija isha bado ajali zinge pungua sana. Sasa Ma3 zina simama any how because hamna stages. Mpaka kufika July siku mchina ata wakabizi barabara hamna stages zitakazo jengwa zaidi ya kuweka lights na road signs basi.You are talking about outering road ambayo bado inajengwa. Hata saa hii kuna sehemu bado zinachimbwa, taa za barabara hazijawekwa na hata footbridges pia bado. And why did you just mention outering? coz unajua bado inajengwa. Ndugu yangu, kama kuna sehemu Dar haipaswi kujilinganisha na Nairobi ni sekta ya barabara. Nairobi has better roads kucompare with Dar. picha tumezileta mingi sana hapa