Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

800px-Least_Developed_Countries_map.svg.png
 
wanairuka ila ujumbe umewaingia ndani ndani kabisa.

niliwahi kusema siku za nyuma na leo narudia tena, kenya haina msanii mwenye vitegauchumi vikubwa kulinganisha na vitegauchumi vya diamond platnumz.

wasanii wao wenyewe wanaishia kufanya tour kwa counties unatemea nini?...
Wewe ni kama unaabudu huyu jamaa. Am very sure unajua hadi wakati anaenda choo
 
Alafu skyscrapers ni ngapi
Tumewazidi
1,2.PSPF tower A & B 35flr each
3 .TPA tower 40 flr
4 PPF 35 Flr UC
5,6 MZIZIMA towers A 37flr ,B 33flr
7 Rita tower 30flr
8 Millenium tower 30flr...
Zote zinacount 30flr++
Nataka unipe za nbo nyumba zenye zaidi ya 30flr kwa sasa..sitaki proposed project zingatia
 
Nice buh dar naona mko na 10 malls only nairobi ni 50
...
Mwaka huu tumeongeza aura mall and soon tunaongeza Morocco square mall
Ignore office buildings izo zinazofanyiwa clading ndio Mall...itakua na 20sqm retail space...before the mid of this yr we gonna welcome New mall in town
Screenshot_2018-03-17-11-29-13-1.jpg
View attachment 732283
Screenshot_2018-03-17-11-29-41-1.jpg
Screenshot_2018-03-17-11-29-02-1.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2018-03-17-11-29-13-1.jpg
    Screenshot_2018-03-17-11-29-13-1.jpg
    73.2 KB · Views: 21
Tumewazidi
1,2.PSPF tower A & B 35flr each
3 .TPA tower 40 flr
4 PPF 35 Flr UC
5,6 MZIZIMA towers A 37flr ,B 33flr
7 Rita tower 30flr
8 Millenium tower 30flr...
Zote zinacount 30flr++
Nataka unipe za nbo nyumba zenye zaidi ya 30flr kwa sasa..sitaki proposed project zingatia
Bratha achanga uongo haisaidii ndio hii correct list ya dar skyscrapers zote 100 metres and above
1.TPA 157m 35 floors
2.PSPF 150.80m 25 floors
3.Rita 130 m 30 floors
4.Uhuru 115.7 27 floors
5.Millenium 1--m 30 floors
6Umoja wa vijana 102 m 25 floors
 
Bratha achanga uongo haisaidii ndio hii correct list ya dar skyscrapers zote 100 metres and above
1.TPA 157m 35 floors
2.PSPF 150.80m 25 floors
3.Rita 130 m 30 floors
4.Uhuru 115.7 27 floors
5.Millenium 1--m 30 floors
6Umoja wa vijana 102 m 25 floors
Haha kijana naona unapiga reverse meli
 
Nairobi skyscrapers
1.britam towers 200m 32 floors
2.UAP Old mutual 163m 33 floors
3.times tower 140 m 34 floors
4.le mac 126m 30 floors
5.teleposta towers 120m 27floors
6.KICC 105 m 28 floors
7.NSSF 103 m 28 floors
8.KCB 100 m 24 floors
9.I&m bank 100 m 18 floors
 
sijui nimchokoze ichoboy kidogo...piling is underway at Pinnacle, signalling the beginning of construction is near...njoo kaka uniambie unapenda renders😀😀😀😀
41136765871_d68f0f9fec_o.jpg

41136742301_bc88c505b7_o.png

41136748641_03b7acc16a_o.jpg
 
Back
Top Bottom