Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,883
- 22,305
Namshangaa huyu wetu kila Sikh kujisifu na hizo pangs boi mbili! Mbona Jirani yetu mwenye utitiri wa ma Boeing hata kuyataja hataji utadhani KQ hai exist!
Neno ushamba na ulimbukeni ndio linapopata credit hapo!
Ushamba ni pale mtu hafahamu kuwa nyingi ya hizo ndege za KQ ni za kukodi.