Iconoclastes
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 4,091
- 2,511
Sasa umeulizia swala la makazi ya watu wa kawaida Nairobi na Dar. Lakini hao wenako watanzania badala ya kujibu swali ulivyouliza, wamerukia kuweka mitaa za machochole za Nairobi lakini hawajaweka mitaa za wa watu wa kawaida mjini Dar. Hiyo inaonyesha nini?
Hiyo ni nia ya kuficha ukweli ya kuwa the quality of life ya watu wa kawaida, yaan the middle-class Nairobi ambao ndio walio weng-sio mabwenyenye sana wala pia sio maskini wanaishi kwenye makazi bora kuliko madlle-class wa bongo.
Mimi nitakujibu swali ulivyouliza, sitoweka makazi ya watu matajiri humu, bali ya watu middle class.
Mtaa wa Kariobangi- a lower middle class neighborhood
Maeneo ya Eastlands
Nairobi South, ninakoishi mimi!
Sisi ni manguruwe.....hatukatai. Hizi chuki zote kiasi ya kuitwa hivi? Siku moja nikauita MOTOCHINI nyumbu, kiutani tu. Akaniitia mods. Leo hapa yeye huyo anaita wengine manguruwe.
Haya, na sasa watanzani watupe mitaa zao, sio kuzungumzia Nairobi namna hiyo kana kwamba kwao ni kuzuri.
No slums.